Waislam iogopeni dhambi ya kitimoto

Waislam iogopeni dhambi ya kitimoto

Status
Not open for further replies.
Kula Kiti moto sio dhambi, labda haujaielewa Kuruan. It is halal to eat Kitimoto.
 
Afanyiwe maombi.inshallaah mungu atajua cha kumfanya

Mungu na nguruwe wapi na wapi? huyu Mungu anayekaa kufikiria mtu kala nguruwe sijui kama kweli yupo! These are petty things to occupy the thinking of Mungu on human beings! These are human inventions, I believe and through human reasoning!
 
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana

Ni kawaida kwa waislamu. Mfano ukiwa na msichana wa kiislamu mnazini, ukileta nyama anakwambia usije leta kitimoto. Ipi dhambi kula nguruwe au kuzini. Think of an hypothetical situation, Ukipewa uchague moja kati ya haya utachagua lipi:
1. Mke wako kuzini au
2. Mke wako kula nguruwe
 
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana

Umekariri kijana! Embu kasome Walawi 11: 6-8.
 
Mungu na nguruwe wapi na wapi? huyu Mungu anayekaa kufikiria mtu kala nguruwe sijui kama kweli yupo! These are petty things to occupy the thinking of Mungu on human beings! These are human inventions, I believe and through human reasoning!

bogus argument.
 
Huyo yupo sahihi kabisa...tena dhambi ya kula Kitimoto kuna mazingira unaambiwa inabidi uifanye.....kwahiyo hii unaweza kuifananisha naswala la kufugandevu kwa muumini....Madhambi Mazito Mazito ni USHIRIKINA na UNAFIKI.....kwa mujibu wa Sheikh wangu,Sheikh Kipoozeo
 
Why vitu vyote vitamu ukigusa ni dhambi??

Hahahahahaaa! asigwa bhana! Usipokariri, haramu ni kile chenye kukuletea madhara or kinachowaletea madhara waliokuzunguka!

Kudadadeki hatukuja duniani ili tuteseke!
 
Aftet all waneamriwa kula endapo wameshikwa njaa. Inshaalah ntaweka aya nikifika nyumbani. Namalizia ya kwangu ya kuchoma hapa sanaa sinza. By the way jamaa wanalalama mauzo yamedtop almost kwa nusu nzima.
 
jaman waislam wenzangu muislam mwenzetu malimi hassan wa tbc ccm namsikia kwenye tangazo la mzee wa upako akimsifia sana na kusema ni mtumish wa mungu hivyo wa2 wote wamfuate je kwa mujibu wa koran si haramu mwislam kuusifia ukristo? naomba mwongozo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom