Hivi kula nguruwe ndiyo dhambi kuu?

Full charge

JF-Expert Member
Mar 1, 2018
1,550
1,422
Habari za muda huu waungwana,

Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:

Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?

Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?

Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?
 
Habari za muda huu waungwana,

Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:

Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?

Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?

Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?
Wanapinga kula kitimoto ila kuviingilia vitoto vidogo vya kiume ni suna
 
Habari za muda huu waungwana,

Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:

Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?

Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?

Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?
Mkuu ni uamuzi tu wa kuchagua dhambi zako
Msanii maarufu Zuchu alikataa kutangaza pombe kutokana na imani ya dini yake ,amechagua kutofanya baadhi ya dhambi

Kuna jamaa zangu waislam wanabeti ila hawali nguruwe

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu waungwana,

Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:

Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?

Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?

Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?
Muhuni gani tena huyo amekukataza kubugia ukipendacho?Achana naye.Fanya mambo yako na asikubughudhi.
 
Kwa watu wengi wenye majina ya kiislamu/kiarabu kula nyama ya nguruwe Ni dhambi kubwa lakini kuroga, kunywa pombe, kuzini, kuiba Mali ya serikali, ufisadi, masengenyo, kijicho sio dhambi.
Mawaziri wenye majina ya kiarabu ambao hawali nyama ya nguruwe Ni wengi lakini hao hai ndio vinara kwenye mafaili ya ubadhirifu na wizi wa Mali ya umma pamoja na kuonea walio chini Yao na kutembea na wake za watu.
Semeni ng'we nimtaje mmoja
 
Ukifuata maandiko ya kwenye Biblia, agano la kale, utakuta list ya wanyama na viumbe tulivyokatazwa ni ndefu.

Haturuhusiwi sungura, farasi, punda, ngamia, mbwa, paka, chura, pweza, ngisi, dagaa kamba, nyangumi, na vingine vingi.

Kwa maoni yangu, nguruwe anatajwa sana kwa sababu kwa miaka 2000 - 4000 huko nyuma, nguruwe alikuwa mrahisi kumpata na kumchinja kwa kuwa alikuwa hana manufaa mengi kwa wanadamu kama wanyama wengine kama farasi na ngamia, ambao walikuwa usafiri, wanatumika vitani, nk. Na kwa kuwa nguruwe ni mtamu kinyama, mtu kushawishika kumla ilikuwa rahisi.

Nadhani pia jamii nyingi za kale hazikuwa na ujuzi wala teknolojia ya kuwinda au kuvua vitu vingine haram kama pweza na ngisi, hivyo basi hata mitume kama akina Paulo hawakuvikuta vimezagaa kwenye magenge ya Galilaya kama ambavyo vimezagaa kwenye magenge yetu miaka hii.
 
Ukifuata maandiko ya kwenye Biblia, agano la kale, utakuta list ya wanyama na viumbe tulivyokatazwa ni ndefu.

Haturuhusiwi sungura, farasi, punda, ngamia, mbwa, paka, chura, pweza, ngisi, dagaa kamba, nyangumi, na vingine vingi.

Kwa maoni yangu, nguruwe anatajwa sana kwa sababu kwa miaka 2000 - 4000 huko nyuma, nguruwe alikuwa mrahisi kumpata na kumchinja kwa kuwa alikuwa hana manufaa mengi kwa wanadamu kama wanyama wengine kama farasi na ngamia, ambao walikuwa usafiri, wanatumika vitani, nk. Na kwa kuwa nguruwe ni mtamu kinyama, mtu kushawishika kumla ilikuwa rahisi.

Nadhani pia jamii nyingi za kale hazikuwa na ujuzi wala teknolojia ya kuwinda au kuvua vitu vingine haram kama pweza na ngisi, hivyo basi hata mitume kama akina Paulo hawakuvikuta vimezagaa kwenye magenge ya Galilaya kama ambavyo vimezagaa kwenye magenge yetu miaka hii.
Una akili Sana mkuu
 
Habari za muda huu waungwana,

Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:

Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?

Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?

Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?
Kula nguruwe ni ukatiri hivyo ni dhambi lakini kula nyama ya nguruwe ni halal kwa watu wote.
 
Back
Top Bottom