ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Slaa na Mbowe watakuwa kama Lyatonga baada ya dua..hiyo..angalizo
mswalie mtume topical sio litawarudi wao kwa kumtetea mfuga nguruwe..
Slaa na Mbowe watakuwa kama Lyatonga baada ya dua..hiyo..angalizo
mswalie mtume topical sio litawarudi wao kwa kumtetea mfuga nguruwe..
Mafisadi wakidhalilishwa watakula wapi ubwabwa mkuu?...Kwa nini Masheikh hao wasiombe dua mafisadi wote wadhalilishwe?
Masheikh kuna kipindi nadoubt kuhusu uelewa wao, hivi inakuwje mambo madogo kama haya yanawachanganya kiasi hicho! Mbona hawamsemi huyo DC hana ndoa na anazini mpaka akapata watoto hao wote wanne? Kwa mujibu wa dini ya kiislamu mwamamke/mwanaume akioa/kuolewa na mtu wa dini tofauti akawa hajasilimu kisheria hawana ndoa hata kama watafunga ndoa ya bomani machoni pa Mungu wanazini, wameichunguza ndoa ya DC mpaka wanakimbia kigezo kidogo hicho cha hijjabu tena haikuwa hijjabu bali ushungi!!! Wanakimbilia kuomba dua utafikiri wao WANAPOKEA DUA NA KULAANI! Wao wanaomba na Allah anatenda, wasitishe watu. Ni dua za watu watatu ndizo hazina pazia kwa Allah 1.0 Dua ya mama kwa mtoto 2.0 Dua ya muumini aliyefunga kabla hajafuturu na 3.0 Dua ya mtu aliyedhulumiwa, sasa wao wako wapi katika mafungu hayo mpaka watishe watu. Wacha waombe, Allah atajibu kama ni dua yao ina mingi. Maombi mengi hayajibiwi kutokana kutokana na sababu nyingi mojawapo ikiwa ni uchafu wa waombaji kwa maana ya madhambi.
Magwanda kushnei, ngoja muoteshwe hydrocele. Mimi waislamu huwa nawaogopa sana hasa tangu wamfanyie Mrema kwakweli sina hamu nao tena.
Hyo dua yao itacklizwa na MUNGU huyuhuyu au?
Nenda kawaambie walale uchi makaburini,waatembee kwa masaburi,waanike busha juani,DUA LAO HALIMPATI MTU NG'OO
mkuu waislam wanaweza kukuroga ukapata kisukari? (jambled ID, Mwita25 = atimw52)Magwanda kushnei, ngoja muoteshwe hydrocele. Mimi waislamu huwa nawaogopa sana hasa tangu wamfanyie Mrema kwakweli sina hamu nao tena.
Hizi taasisi zingine too much eti Taasisi za Mikutano ya Kiislamu (BATA MILK), kesho tutasikia Taasisi ya Maandamano ya kiislamu TAMAKI nayo imetoa tamko.
Magwanda kushnei, ngoja muoteshwe hydrocele. Mimi waislamu huwa nawaogopa sana hasa tangu wamfanyie Mrema kwakweli sina hamu nao tena.