Wairaqw ndivyo walivyo?

Status
Not open for further replies.
Garka ng'i oa,kunga khuaa homa tunduloowa waqhaqha'a takay iraqw adaktana lati inoin an daktana!!!!
 
Garka ng'i oa,kunga khuaa homa tunduloowa waqhaqha'a takay iraqw adaktana lati inoin an daktana!!!!
Hahahahaha!!!!!!is aga adosir qui,homa slemeroo a daktanar bahyen!!kibetoo gwe'der amuhung!!!!
 
ooobabeo.... kunga th'eme'ero ghai kha'a.
 
ni kweli mkuu ana huruma ya hatari kitu kidogo tu tusali mme wangu ahahaa wakati ni mchumba
 

aksante sana na hongereni sana ni mrembo saaana sipati picha
 
wapendwa hata mm nimeoa muiraq yaan ni mkimya hadi naona nikiburi maana unapoongea nae hatoi ushrikiano had nashndwa kumuelewa na ukimuuzi anawezakulia had wki. na hw wanapenda san kuongea kiluga ht ukwpo.

bt nampenda sana shida ni hiyo coz mi napenda sana story shida kubwa kila kitu anaitaji mwongozo wangu
 

yap hii naikubali sana coz mi mwenyewe shule ipo tena ya maaana na mambo si mabaya nafikiri ndo maana ameamua kujweka kwangu
 
Hahahahaha!!!!!!is aga adosir qui,homa slemeroo a daktanar bahyen!!kibetoo gwe'der amuhung!!!!

Aloo, homar yayri aten ti loowa waqaqaa'; aloowa daktana asma n'gi hhuiaka gidabani aten a loowa sager kooma ne sagaloa sleme akoma...
 

yap kwa mambo ya kikubwa ni tatizo kote ila huyu ilinichukua muda hadi kufunguka.
 
Obabew!! Lati iraqw kaloowaur bakae,oryok aning doren iimboru ayama'ami
itabidi nitafute mwalimu 1 awe anannifundisha hii lugha ili nisije semwa ahahaha triple A VIPI waweza saidia malipo yapo
 
Mkuu Ogopa huo ukimya, hawa watu "Hawana maneno kabisaa" wako tayari kwa lolote na wakati wowote. Kama hujanipata shauri yako!
 

nikiwa arusha kipindi hicho, niliowajua walikuwa na sifa hizi ...

1) wacha Mungu sana
2) wapole sana kwa muonekano ila ni wacheshi sana ukizoeana nao
3) wakarimu sana
4) ni wazuri na watamu mno (ukimpata na baada ya kukudengulia sana kumbe maji mara moja)
5) wanapendana sana kifamilia na ukoo
6) waachiaji kisirisiri sana (unaweza ukawa naye na bado kuna wa kabila lake akawa anammega)
7) opportunists / materialist (baadhi na wengi wao)
8) wana hasira sana sana sana sana (msisitizo uzingatiwe)!

inawezekana wako akawa tofauti, but kuwa makini!

best wishes!!
 

Yuha ve nailed it kuna kabinti ka Iraqw nimetoka nak muda kiasi baadaye nikasafiri cha kustaaajabisha the same week niliyosafiria kamemegwa na jamaa yangu tuliyewahi kutoka naye kampan nikiwa na yeye
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…