Wairaqw ndivyo walivyo?

Wairaqw ndivyo walivyo?

Status
Not open for further replies.
#1,2,3,4 sawa kabisa.. #6 ndo yanifanya nimuangalie kwa macho yote 2 coz kabla sijakutana naye kimwili aliniambia hajawi kudooo ila nilivyokutana naye kweli inshu ilikuwa imebana sana laikin hakuwa virgin hapo ndo mashaka yalikoanzia baada ya kumbana sana akasema aliwai kuumia kwenye baiskeli zamani huwa nakaa naye hata wiki ila sioni dalili za kuwa na mawasiiiano na m2 mwingine ila #6 ntaifanyia kazi

kimsingi kimaumbile wana k ndogo sana. hawajajaliwa k kubwa hawa watu na ukichanganya na kukatwa haiwezi tanuka. - ni tit

hapa ndipo tumekariri na ndipo tunapokamatishwa masikio
 
Mkuu ni wapare ndio wanafahamika kwa ubahili na kupenda kesi za mahakamani. Wachaga ni wazee wa kujirusha na sifa nyingi (maujiko). Kurudi kwenye swali lako kuna jamaa zangu walikuwa na experience ya mademu wa kiiraq. Kweli ni wakimya sana ila vile vile wataratibu na wenye mipango sana. Tatizo lao moja kama unavyosema ukimya ni wa kuogopa sana. Kuna mmoja alikuwa demu wake anamegwa for 4 years hakuwa anajua. Hata alipojua hakuamini maana piripirika pirika za ndoa zilikuwa mbioni ikaja kufahamika anabwana nje na ndoa ikafa kifo cha mende.

Mwengine huyu amemuoa kabisa yule demu wake wa kiiraq na wanaishi ndoa ya furaha sana.

Weakness moja wapo niliyoiona wanazimia sana wanaume wenye akili na uwezo. Hivyo kuwa makini ukimuoa jitahidi umaintain vitu hivyo otherwise akiwa mwanamke mapepe ushampoteza.

hakika ......................akili na uwezo...........................
 
Umekaa nae muda gani mpaka ukimya wake ukutishe? Usimhukumu mtu kwa kabila lake, mhukumu mtu kwa matendo yake maana naona umetoa mlolongo wa makabila na tabia zao. Haya sas tabia za wanawake wa kiiraq ni malaya, wajasiri na wasiojutia maamuzi magumu, wana roho mbaya na nasikia wengi wametahiriwa. Kwa uzuri hapi umefika, nywele wengi utafiki mwarabu, warefu, weupe, macho mwororo. Haya chagua kusuka au kunyoa.
Hawana antena ama sijaelewa vyema.
 
Pamoja naukimya wao hao so wachoyo hawafai kabsa kua wake.Nilsha takaga kuoa uko nhatar asee.wao wanaamn mwanamke atakiw kuzaa sehemu moja maana unaweza zaa sehemu moja watoto wakawa wajinga wote.unakuta mtoto wakwanza niwako wapl sio wako,watatu niwako.afu maisha yanaendelea tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom