Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Ndugu yangu jisemehe wewe na nafsi yako, eti Watanzania wengi wanataka mabadiliko huu utafiti umeufanya lini na wapi?

Hata bila ya utafiti, ni lazima kila Mtanzania mwenye akili timamu na ambae si fisadi atakuwa anataka mabadiliko. Utakuwaje na akili halafu ukubali maisha ya shida?
 
Kwa kweli kikwete anafikiri kuwa maendeleo yetu yataletwa na hawa watu weupe, na hili limeonekana toka alivyoingia madarakani, alikimbilia marekani akifikiri wamarekani ni watu wa kweli kumbe hamna kitu. Rais wetu lazima abadilishe kufikiri kwake!! Mpaka lini kuwa ombaomba wakati kila kitu tunacho?
 
yah Mr. President needs to be a little serious you cant be confident enough to sue someone who have been cought up with
leopard skin while there are some scandles that some gvment officials have tranfered live girraffes with other living animals.
 
kiongozi yeyote akisifiwa na wazungu ujue wanafaidika nae.na wazungu hawana rafiki wa kudumu bali wana maslahi ya kudumu.

toa ufafanuzi.unataka wamsifu kiongozi legelege anayeongoza taifa tajiri lenye serikali legelege!
 
kikwete ni mtu makini ila ana wasaidizi mzigo.

ni kweli ni makini lakini kama umeshindwa kuongoza there4 ur nothing.anyway kwa sababu tunaongozwa na familia ya kikwete huenda wote tukaishia msoga sote tukaishi pale kwenye mahekalu tunahudumiwa na ridhiwani na WAMA
 
Mk.wer.e, Vasco Dagama, A pathetic leader, A retard, Mzungu worshiper ,......! Ingekuwa mimi ningeitisha uchaguzi haraka.
 
sikio la kufa halisikii dawa! makelele na vilio wanavyopiga wananchi, tena wanyonge, iko siku madhara yake yataonekana. yaani uongozi wa huyu jama siupendi kabisa!
 
Una shida gani na rangi rangi si ni kitu kidogo hicho, mbona yanayo kuumiza ni mengi lakini husemi uko kimya tuu?????????

wee nawe utakuwa muha naona....mbona mbishi namna hiyo?? elewa rangi za bold zinaumiza macho bana....huwezi kuondoa bold na rangi rangi mazee? watupa shida kusoma mabandiko yako.....unakuwa kama salva bana...
 
chanzo cha hii kitu sio reliable,kwani inaonekana kuna kitu kimebandikwa kutoka kwenye facebook kikaekwa hapa.huu ni uzushi tu hamna lolote.
 
chanzo cha hii kitu sio reliable,kwani inaonekana kuna kitu kimebandikwa kutoka kwenye facebook kikaekwa hapa.huu ni uzushi tu hamna lolote.
Ujinga ni moja sababu zinaloligharimu hili Taifa, na huyu ni miongoni mwa wajinga hao, soma pale juu kuna link ingia mwenyewe ujisomee, wewe kwa uvivu wako wa kufikiri unadhani hiyo ni copy & paste ya facebook!!
kweli some people is alive becuse is illegal to kill them.
 
Kuna picha nimeona (nadhani ni michuzi blog) ya viongozi wa Afrika wakiwa kwenye kikao na anaye-chair ni former Britsh Prime Minister Gordon Brown. Rais wetu naye yumo kwenye picha. Maelezo yanayoambata na hicho yanasema kuwa viongozi hawa wa Afrika wanahimiza 'regional intergration'!

Sijui ni mimi tu au kuna watu wengine wanaojiuliza, hawa viongozi wa Afrika wameenda Davos Uswiss kuongelea regional intergration? what region? Afrika? Kama ni Afrika kwa nini wasiongelee hizo porojo kwenye ukumbi wao huko Addiss week ijayo? Huku sio kuvamia mkutano wa watu? Wazungu wanakutana kujadili namna ya kujinasua kwenye economic crisis inayowakabili sasa hawa wakina matonya wanakuja na mambo ya ajabu ajabu!

Historia haiandikwi kwa siku moja na hiyo picha itatumika huko mbeleni kuonesha jinsi viongozi wa 'zamani' wa Afrika walivyokuwa gharasha!
 
chanzo cha hii kitu sio reliable,kwani inaonekana kuna kitu kimebandikwa kutoka kwenye facebook kikaekwa hapa.huu ni uzushi tu hamna lolote.

[h=2][/h]
Nimesoma comments hapa na kujikuta naona vyema niwashirikishe mjue wazungu wanavyomnanga rais wetu.
 
hivi habari kama hizi huwa zinawafikia walengwa? ama huwa zinaishia JF tu?
 
ASIVYO NA AIBU, ATASEMA WANA WIVU: CHECK WANAVYOMPONDA HAPA.......


26 January 2012 2:33PM
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes


  • no-user-image.gif
    LindaCroucher 26 January 2012 3:50PM

    Response to RichardBrunwick, 26 January 2012 2:33PM
    This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.
    Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.
    I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit

 
Labda mpaka azabwe kibao siku moja ndo ataelewa kuwa wamemchoka na ombaomba zake
 
Back
Top Bottom