Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Kinyungu,

Mimi jana nilisema mara nyingi Kikwete alikuwa anababaika kujibu, hapa Godon alimuuliza swali la msingi "Nowadays IT technology and education is moving faster, how quick can move education forwad in Africa" Nafikiri Kikwete hakulitegemea swali hili akaanza kwa kujikanyaga kanyaga namnukuru "Yes ofcource we....first let me say about infrastructure......." hadi mwisho hakujibu swali la msingi akaishia kusema Afrika haina idadi kubwa ya magari.

Mimi nafikiri tuna tatizo kubwa rais wetu hana uwezo wa kuchambua mambo seriously kama kwa mfano PM wa Ethiopia Zenawi alivyokuwa anachambua. Ndio maana wazungu wamemsoma IQ yake wakagundua hana vision yeyote ya kuiletea maendeleo nchi yake, na wao wamegundua kumbe lengo lake lilikuwa kupata urais tu. Kwa hiyo kama wamegundua na wanatusaidia kumkosoa tusiwalaumu kwa vile bakuli tunalotembeza linajazwa kwa kodi zao.

Hayo ndo madhara ya kuchagua viongozi kwa ZAMU,eti safari hii zamu ya waislamu, cjui akristo, wapagani nk nk, mara jinsia..! na hayuko peke yake wako wengi sana ccm, spika, pm..ongeza orodha!
 
Richard Brunwick hajawahi kufanya kazi UNDP hapa Tanzania. Hii ni kulingana na taarifa ambazo nimethibitisha kutoka makao makuu ya UNDP Dar es salaam na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambayo ndiyo inaratibu shughuli zote za mashirika ya kimataifa.

Aidha, nilikwenda mbali zaidi hadi Wizara ya kazi na vijana haina taarifa ya kutoa kibali cha kufanya kazi cha mtu huyo Richard Brunwick.

Sikuishia hapo nilikwenda mpaka uhamiaji ambao walipekua jina la Richard Brunwick na kuniambia hawana kumbukumbu kama mtu wa aina hiyo amewahi kuingia nchini Tanzania kwa ajili ya kwenda kufanya kazi UNDP. Faili la uhamiaji la mashirika ya umoja wa mataifa na kompyuta za uhamiaji hazina jina hilo.

kwa muktadha huo taarifa hii ni mfululizo wa mashambulizi yaliyoanza wakati wa maandalizi ya safari ya Davos ambako anahudhuria kikao cha World Economic Forum.

sisiti kusema kwamba waandaji wa mada hii ni walewale ambao hawapumziki wakiona Rais Kikwete anapumua

nenda kamuangalie na huyu

AlcoholicSnr 26 January 2012 11:58PM
Kikwete and Suma are retards. they are morons, shame on them Atleast Zuma was reading from the script! Why do they look for aid, I thought their african countries are richer than ours. why come to us for aid? the corrupt Tansania president could not answer an educational question? what a pity! and he has just started a second term? let me yawwwwwn
 
wakati anaongea wajumbe wengi walikuwa bie na simu zao tu...tofauti wakati zuma na zenawi wanaongea.......
Yeye na mwenzake Odinga walifikiri wamekwenda kujitetea wao kama wao (viongozi) wakasahau kuwa wanatakiwa kuisemea Afrika na sio nchi wanazotoka, kuna wakati Odinga alinyamazishwa alipoanza kutetea ujenzi wa reli ya Uganda-Kenya akaambiwa that does not apply here. JK naye akasema the development you see in Africa is from us the same leaders. In fact kama ni rating JK alishika mkia kifuatiwa na Odinga the best alikuwa PM Zenawi aliongea kwa kujiamini tena bila kusoma popote.
 
Sasa mtaelewa kwa nini Israel walisema sisi ni "Irrelevant"
 
Nimesoma comments hapa na kujikuta naona vyema niwashirikishe mjue wazungu wanavyomnanga rais wetu.

attachment.php

attachment.php
Siasa ya Ujamaa na kujitegemea hoyeee !!!!
 
Watanzania sijui tunakuwaje, hivi karibuni waingereza walipotuambia tukubali kutambua haki na kuidhinisha ushoga watu walilaani kwa nguvu zote, leo waingereza hao hao wanatuzushia uongo watu wamegeuka kuwaunga mkono na hata wanapoambiwa kuwa huu ni uzushi tunaonana kuwa ni punguani. Sijui tukoje? Huyu anayejiita Richard Brunwick hajawahi kufanya kazi Tanzania na wala si mchumi kitaaluma, yeye ni Dakitari tu, hajui lolote ni uzushu tu huu.
 
jk aligombea urais ili mradi awe rais lakin hakuwa na lengo la kwamba ataifanyia nin tz baada ya kuwa rais.
Ni sawa mtu anayeenda bank akachukua loan wakati hajui ataifanyia mwisho wa siku atakuwa looser.
Jk ni janga la jamii na siyo jamaa Mungu atuokoe na janga hili.
Watanzania badirikeni achen kuchagua watu kwa kuangalia sura na suti zao. Zingatia uwezo wa mtu na mikakati yake siyo ahadi nyingi bila kuonyesha mchanganuo wa source wa kutekeleza hizo ahadi.
 
Watanzania sijui tunakuwaje, hivi karibuni waingereza walipotuambia tukubali kutambua haki na kuidhinisha ushoga watu walilaani kwa nguvu zote, leo waingereza hao hao wanatuzushia uongo watu wamegeuka kuwaunga mkono na hata wanapoambiwa kuwa huu ni uzushi tunaonana kuwa ni punguani. Sijui tukoje? Huyu anayejiita Richard Brunwick hajawahi kufanya kazi Tanzania na wala si mchumi kitaaluma, yeye ni Dakitari tu, hajui lolote ni uzushu tu huu.

Sasa wewe ndugu yangu uzushi uko wapi?
Kwamba tanzania ina rasilimali nyingi?
Kwamba rais wetu ana omba omba?
Kwamba viongoz wanatufisadi na sisi tulio wengi hatufaidiki na rasili mali zetu?
Kwamba jk ni mnafiki?
Ebu niambie uzushi uko wapi. Acha ushabiki na mapenzi yasiyo kuwa na maana wewe. Kuwa mtu wa ku reason our president sucks!!!!!!
 
Chukua hatua sasa mana tumelalamika sana inatosha tuseme sasa what is the way forward...hii ni aibu na ni bahati mbaya watu hamjui wazungu ni watu wabaya sana kabisa...
 
WELDONE by richardbrunwick coz sijaona kosa au uongo wowote juu ya hizo condemnations made, nchi haiwez kuwa na resources nyingi hivi halafu mkuu huyu anaenda kudeka mbele ya hawa wazito anatuaibsha kabisa, serikali yake ilfunika maovu yaliyofanywa na mkapa kuhusu ununuz wa rada [BAE] Bunge la uingereza likasaidia uchunguz huo na kurudisha pesa bilion nyini tu na pia wakataka waliohusika wakamatwe na kushtakiwa but on contrary mambo still quit, then now anaenda mbele yao tena kuwaomba watu haohao wakati anajua kuwa wanajua kuwa serikali yake is a corrupt gvnment, demn yuuuuuuuu
 
''what a pity! And he has just started a second term? Let me yawwwwwn''
da! Ndugu zangu wazungu wanatushangaa,sijui huu ukilaza hadi.lakini hatukuchagua huu mzimu ila baasi walaaniwe NEC!!
 
Watanzania sijui tunakuwaje, hivi karibuni waingereza walipotuambia tukubali kutambua haki na kuidhinisha ushoga watu walilaani kwa nguvu zote, leo waingereza hao hao wanatuzushia uongo watu wamegeuka kuwaunga mkono na hata wanapoambiwa kuwa huu ni uzushi tunaonana kuwa ni punguani. Sijui tukoje? Huyu anayejiita Richard Brunwick hajawahi kufanya kazi Tanzania na wala si mchumi kitaaluma, yeye ni Dakitari tu, hajui lolote ni uzushu tu huu.
Najaribu kuangalia uongo wa Richard siuoni hebu na wewe nisaidie, alichosema ni hiki...

  • He is a leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging.
  • Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question.
  • I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is.
  • His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them.
  • His human rights record is horrible.
  • His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.
  • Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips.
  • He should make good use of his country's wealth.
  • Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock.
  • I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips.
  • Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania.
Suala kuwa Richard si mchumi halina maana.
 
Pendekezo: Andishi hili litaesiriwe na kuwekwa kwenye vyombo vingine vya habari ili waTZ wasome na watafakari!!
Waandishi mnaochukua habari humu, kamata hii muitoe huko magazetini..........
 
Kama kusema watanzania wameshasema sana,stil huyu ****** haelewi,wala hataki haka katabia ka kuombaomba. Inawezekana ni hob yake..............................................!

Hivi huwa anaanzaje kuomba.... hooo my country is very poor, so please white help me dollars,pound,yen and in return will give you a plot of uranium... kwe kwe kwe kwe kwereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
I think one of the possible ways of retaining our respect is to try change the entire system i.e. over- whole the current leaders and try to plug new bloods!
 
ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi , huu ni ukweli mtupu ni kama tumelaaniwa, JK si wakulaumu sana kihivyo nchi ilianza kutafuna hata enzi za Nyerere mafisadi walianza na MECCO, RTC, RELI, Posta na Simu, TIPPER TPDC AICC leo hii ndio uawakuta wakurugenzi wa Bodi mbali mbali Angalia Lowasa, Simba , Kitwana Kondo, Ndolanga, na wote ambao waliwahi kutumikia taifa muda mrefu na wakaongoza mashirika yakafa eti kwa sababu ya ufisadi. Umaskini hata Mwinyi alihukuta, sijui tumwazibu nani? bora basi tuadhibu CCM 2015 ndipo maendeleo yatakuja
 
Nimesoma comments hapa na kujikuta naona vyema niwashirikishe mjue wazungu wanavyomnanga rais wetu.

attachment.php

attachment.php
Uchambuzi huu, umenitisha sana na haya mambo tumekuwa tukiyapigia kelele kila siku Bungeni na nje ya Bunge! Sisi tunaonekana mafirauni hasa hawa mafisadi!! Hapa hakuna cha Uccm au Ucdm, sote tushikamane kuokoa taifa letu.....Sitaki wala sikubali upuuzi huu!!! Katika suala la uzalendo siangalii chama wala wala sura ya mtu...natetea maslahi ya Taifa langu na rasilimali zake!!

Ndg wana JF tushikamane katika hili!! AIBU SANA....Ndg zangu taifa letu lilikuwa na heshma mbele ya mataifa mbalimbali, tuliongozwa na sifa za kizalendo, umoja, mshikamano na amani. Rushwa enzi hizo ni mwiko na mataifa mbalimbali wanalijua hilo hakika. Hivi sasa tunanuka tena uvundo....HAPA, naomba kuishia hapa tafadhali, tutapelekana pabaya sasa!!!
 
Hayo ndo madhara ya kuchagua viongozi kwa ZAMU,eti safari hii zamu ya waislamu, cjui akristo, wapagani nk nk, mara jinsia..! na hayuko peke yake wako wengi sana ccm, spika, pm..ongeza orodha!


Sijui kwanini hamkumtuma Dr Slaa wa ukweli kumwakilisha.....! hakujua u-Dr wake alipewa tu?
 
Back
Top Bottom