Waifu ananitegea!

Waifu ananitegea!

She is nuts.

My husband mpaka ananiulizaga'hivi unajua mi ni mmeo' manake kama hajaona mzigo umepita mi ndo nitamshtua.

Cheki kitu hicho, wezereee. Anaishia kucheka.

Other times kama ya ukweli mno napiga honi, itabidi tu apunge yeye mkono because mi siwezi kupunga, lols.

Piga chini mmeo, njoo nikuoe.
 
Itabidi mkuu ubadili staili ya kuangalia, fanya hivi;
Mkiwa mnaenda sehemu halafu mkawa mnataka kupishana na mali ambayo unahisi nyuma lazima kitakuwa na biG pachaz wewe anza kugeuka nyuma kabla hata hamjapishana (a.k.a tanguliza macho mzigo waja,)kwa hyo akifika usawa wa ikweta ya macho yako unafaidi weeeee! Wife akiuliza unamjibu mbona uligeuka kitambo tu.

dah sidhani kama hii style itafanya kazi mkuu
 
She is nuts.

My husband mpaka ananiulizaga'hivi unajua mi ni mmeo' manake kama hajaona mzigo umepita mi ndo nitamshtua.

Cheki kitu hicho, wezereee. Anaishia kucheka.

Other times kama ya ukweli mno napiga honi, itabidi tu apunge yeye mkono because mi siwezi kupunga, lols.

Siku zingine unapoona kitu cha uhakika uwe unamstua unamuuliza "vipi nikuunganishie?"
 
Inshallah Mungu atakujaalia mume mwema.

Sasa basi sio wanaume wote unaweza kwenda nao hivi. Mfano OLESAIDIMU ukimgeuza shingo aisee ndo kwanza ataenda hadi kumvua kyupi. Simuaminigi hata!!

Karucee wanasema samaki hapishi chambo!!!!!:fish2:
 
Last edited by a moderator:
Wadau salaam na hasa kwa wanamme wenzangu tuliooa,binafsi napata wakati mgumu saaana napotembea na waifu barabarani,yaani kazi yake kubwa huwa ni kuniangalia naangalia nini....hasa akipita mdada aliyejazia ambae utakuta kila mtu anamwamgilia barabarani,mi nikigeuza jicho tu msala unaanza,nitahojiwa naangalia nini na ili iweje.japokuwa wyf nae kajazia japokuwa havai kihasara kutokana na maadili.

Nisaidieni wanamme wenzangu,hivi na nyie nae mnakutana na hii hali au ni mimi tu waifu kazidisha wivu?
Akiona na Avator yako ndo ata-conclude kabisa!
 
She is nuts.

My husband mpaka ananiulizaga'hivi unajua mi ni mmeo' manake kama hajaona mzigo umepita mi ndo nitamshtua.

Cheki kitu hicho, wezereee. Anaishia kucheka.

Other times kama ya ukweli mno napiga honi, itabidi tu apunge yeye mkono because mi siwezi kupunga, lols.

You are something else
 
She is nuts.

My husband mpaka ananiulizaga'hivi unajua mi ni mmeo' manake kama hajaona mzigo umepita mi ndo nitamshtua.

Cheki kitu hicho, wezereee. Anaishia kucheka.

Other times kama ya ukweli mno napiga honi, itabidi tu apunge yeye mkono because mi siwezi kupunga, lols.
My homie is lots of fun.
 
Sipendi angalia nyuma za watu maana nitajiharibu
 
me sikuruhusu , angalia kwa kuibia, sio ndo ugeuke usahau unapokwenda kaaah
 
ndio maana ake coz hyo mi natafsiri
kama dharau,bamiza makonde,kwa siku
hata mara sita atajiju,kila akigeuka analo khaaa!!

Mmh dada mkishinda wote siku nzima si utamziba masikio mtoto wa mwenzio kwa vibao? Unless umjue mtu wako madhaifu yake...

Si wapo wadada ambao wakipita hata wewe mwenyewe unakubali kuwa naam..Mwenyezi Mungu aliumba?
 
me sikuruhusu , angalia kwa kuibia, sio ndo ugeuke usahau unapokwenda kaaah

Haa haa...umenikumbusha kuna siku mdada alitupiwa jicho mpaka mtu kasahau kukanyaga accelerator gari itembee...Mie nikajikausha tu nikabaki kumuangalia dereva, akili ilivyorudi ilibidi wote tubakie kucheka tu...halafu bado akabisha kuwa alikuwa haangalii...
 
Mradi umeshajua mkeo hapendi Acha kumkarahisha.
 
siku nyingine akianzisha msala unamwambia aisee duh Mungu fundi sana kwa kweli umeona huyo dada,,... ungekuwa unaangalia alafu unaponda hivi amevaaje huku kimoyo moyo unafurahia maumbile...... alafu unamwambia embu angalia we huku linaweza kuwa jicho la tatu unazidi kufaurahia tu...... ila huyo mkeo majukumu hayamtoshi mpaka anaconcentrate na jicho lako loh....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom