Waifu ananitegea!

Waifu ananitegea!

It doesn't necessarily mean you are in to her.

Ila jamani some men are so attractive.

Kama OS.

(asipaone hapa please).

cc: OLESAIDIMU kwa hatua zaidi hapo penye red. Ooooh! Nimejisahau OS dont read this.
 
She is nuts.

My husband mpaka ananiulizaga'hivi unajua mi ni mmeo' manake kama hajaona mzigo umepita mi ndo nitamshtua.

Cheki kitu hicho, wezereee. Anaishia kucheka.

Other times kama ya ukweli mno napiga honi, itabidi tu apunge yeye mkono because mi siwezi kupunga, lols.


Aisee bidada umetisha...ivi wife kama ninyi si mpo wachache sana eeh?...
 
haina makosa coz amevaa free style...wasiwasi wangu ni wife akiona halafu akifikiria unavyorudi home na sura ya mbuzi ku-maintain respect and orders angekuzibua makofi!

hahahaha,kwanza akaunt yangu haijui na hajui kama nina akaunt jf,nilichomuaminisha ni kuwa hii ni blog ya habari tu so huwa naingia huku kusoma habari.vimbwanga vya huku havijui kabisa so kunishtukia itakuwa ngumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom