carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,721
Enzi hizo nikitaka kumeza hio dawa mama lazima aniwekee sukari ya kulamba..
Maana sio kwa huo uchungu.
NOTE:vijana wa miaka ya 2000s hamuwezi kuelewa kulamba sukari ni nini...
Enzi hizo kuramba sukari ilikua ni kosa la kuchezea kichapo cha haja..
Lkn ukipewa chroloquine mzazi anakupa sukari yeye mwenyewe urambe (hiki kitendo katika hali ya kawaida kilikua hakiwezekani)
Maana sio kwa huo uchungu.
NOTE:vijana wa miaka ya 2000s hamuwezi kuelewa kulamba sukari ni nini...
Enzi hizo kuramba sukari ilikua ni kosa la kuchezea kichapo cha haja..
Lkn ukipewa chroloquine mzazi anakupa sukari yeye mwenyewe urambe (hiki kitendo katika hali ya kawaida kilikua hakiwezekani)