Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,737
haha... nimezimeza masikio yalikuwa yanakuwa mazito. Mimi mhenga mtarajiwa tusizeeshane.aliyemeza hizi dawa lazma ni muhenga mtaajiwa kama si muhenga kamili...........
haha... nimezimeza masikio yalikuwa yanakuwa mazito. Mimi mhenga mtarajiwa tusizeeshane.aliyemeza hizi dawa lazma ni muhenga mtaajiwa kama si muhenga kamili...........
Duh huyo mtu kama yupo mwambie aagize kinywaji chochote nitalipa. Nimemvulia kofiakuna mzee mmoja alikuwa fundi maji wa DAWASA ya Enzi hizo maeneo ya Kibaha alikuwa anakunywa vile vidonge kwa kumung'unya kama pipi. Alikuwa akija kutengeneza maji anaomba kama mna akiba ya chrolokwini anajisikia malaria ukimpa anakula kama pipi. Yeye alikuwa teja kabisa wa zile dawa akizikosa hafanyi hata kazi
Unajua kama Chloroquine ingekuwa sio chungu na haina harufu mbaya, inafaa sana kumuwekea Usiyempenda kwenye Chakula....Awashwewashwe tu bila sababu.
Hizi dawa zilikuwa zinanionea kwenye kuniwasha,sitakagi hata kukumbuka.Usiku mmoja kulikuwa na mvua usiku mm nawashwa,mtu pekee aliyekuwa akinifariji ni marehemu mama lkn nayeye alifika wakati akachochoka akalala,sitasahau usiku ule ,ilikuwa mrefu ka mwezi mzima vile.Mwishoni hapa ndo tuligundua unameza piriton nusu saa kabla hujazimeza hapo huwashwi.Cloroquen ww Mungu anakuona.'Kolokwini' ile dawa ina nguvu za ajabu, yaani ikikaribia kugusa ulimi tu ina uwezo wa kukivuta nje chakula chote ulichokula. Dawa chungu kama imetengenezwa na mashetani, halafu bahati mbaya iwe inakuonea, yaani ukinywa ni full kuwashwa kwa muda siku tatu mfululizo bila kupumzika, halafu muwasho wake ni hadi kwenye kinyeo na makende. Ukianza kuwashwa hujitokezi mbele za watu, maana kuna maeneo utashindwa kujikuna. Ukigusa maji hata tone tu kuwasha kunaongezeka mara tatu zaidi.
ilikuwa zamani sana nilishapotezana nae toka Enzi za klorokwiniDuh huyo mtu kama yupo mwambie aagize kinywaji chochote nitalipa. Nimemvulia kofia
Zimenitesa sana hizi kitu. Zilikua zinanifanya kama njuka wake...Hizi dawa zilikuwa zinanionea kwenye kuniwasha,sitakagi hata kukumbuka.Usiku mmoja kulikuwa na mvua usiku mm nawashwa,mtu pekee aliyekuwa akinifariji ni marehemu mama lkn nayeye alifika wakati akachochoka akalala,sitasahau usiku ule ,ilikuwa mrefu ka mwezi mzima vile.Mwishoni hapa ndo tuligundua unameza piriton nusu saa kabla hujazimeza hapo huwashwi.Cloroquen ww Mungu anakuona.
Dah ile sio gani sijui ni kitu gani manake kama umesimama utakaa mwenyeweKuna dawa ya malaria ya sindano, iliyofuatia Chloroquine, ikiitwa "Christapen". Hii ilikuwa mbaya zaidi manake ukidungwa hiyo sindano lazima mguu ufe ganzi!
Hujafa mpaka Leo hufi tena maana ule uchungu kutafuna lazima upoteze maishaCha ajabu mm nilikuwa nalazimishwa kuitafuna ndipo niiimeze aisee
Hahahaa nipo natangatanga na dunia, hadi leo nikiumwa malaria dawa yangu kubwa ni juisi ya shubiri au mwarobaini.Hujafa mpaka Leo hufi tena maana ule uchungu kutafuna lazima upoteze maisha
Hahahaa nipo natangatanga na dunia, hadi leo nikiumwa malaria dawa yangu kubwa ni juisi ya shubiri au mwarobaini.