dawa hatari sana hii enzi hizo hii dawa waliomeza kwa muda mrefu ilienda kuwapiga kwenye speech center and hearing katika (forebrain) wengi walibaki viziwi na kupoteza kumbukumbu hadi leoNatafakari, hivi aliyetengeneza Chloroquine alikuwa anawaza nini hasa ile harufu bado naisikia dawa ile ili upone ni lazima ukimaliza dosage utapike ndipo upate nafuu.
Mara ya mwisho kutumia ilikua mwaka 2000 sijui kama muuguzi yule wa Minaki Dispensary bado yupo 4X4X2 ule uchungu basi sio wa dunia hii olivia common dosage.
NILIMEZA SANA QUININE KLOROWIN UWI UTOTO WANGU NUSURA NIFARIKI DAWA PEKEE ILIYONIOKOA ni mwarobaini ambapo sikumoja mamangu aliona nakaribia kupoteza maisha aachemsha jungu la mwarobaini kisha aklipoepua akaliweka china akanifunika gubigubi ule mvuke wake unanitoa jasho hatare nikazidi kunyongonyea nikapoteza nguvu kabisa nikalala takriban masaa 24 kuja kuamka nalilia chakula baada ya msosi nikaanza kupata nguvu kidogokidogo japo nilikuwa dhaifu lakini niliendelea kuimarika mpaka leo sikuwahi kuugua malaria kali kabisa inanipata mara chache mnoo na nipo stableNatafakari, hivi aliyetengeneza Chloroquine alikuwa anawaza nini hasa ile harufu bado naisikia dawa ile ili upone ni lazima ukimaliza dosage utapike ndipo upate nafuu.
Mara ya mwisho kutumia ilikua mwaka 2000 sijui kama muuguzi yule wa Minaki Dispensary bado yupo 4X4X2 ule uchungu basi sio wa dunia hii olivia common dosage.
NILIMEZA SANA QUININE KLOROWIN UWI UTOTOT WNGU NUSURA NIFARIKI DAWA PEKEE ILIYONIOKOA ni muarobaini ambapo sikumoja mamangu aliona nakaribia kupoteza maisha aachemsha jungu la mwarobaini kisha aklipoepua akaliweka china akanifunika gubigubi ule mvuke wake unanitoa jasho hatare nikazidi kunyongonyea nikapoteza nguvu kabisa nikalala takriban masaa 24 kuja kuamka nalilia chakula baada ya msosi nikaanza kupata nguvu kidogokidogo japo nilikuwa dhaifu lakini niliendelea kuimarika mpaka leo sikuwahi kuugua malaria kali kabisa inanipata mara chache mnoo na nipo stable
happy born day to me ............sikufa bali nimeendelea kuishi na leo mungu ameniongezea mwaka mwingine mmoja namshukuru sana
Lilikuwa ni Bomu la atomic, tumshukuru Mungu Bomu hili halijutuathiri nguvu za kiumeni familydawa hatari sana hii enzi hizo hii dawa waliomeza kwa muda mrefu ilienda kuwapiga kwenye speech center and hearing katika (forebrain) wengi walibaki viziwi na kupoteza kumbukumbu hadi leo
naenda kariakoo naskip lunch DARLING haha thanx thouHappy birthday my love. Phina ana kimimba, Kila wakati anataka niwe nae. Leo ningekupitia Lunch twende pale kibanda umiza petu. Ila ntajitahidi nikuone
poa darling, usijalinaenda kariakoo naskip lunch DARLING haha thanx thou
hahaha mie nilikuwa mtundu gv ilikuwa kawaida sana kwangu na kuna lile lidawa linauma hatare la vidonda ukibandikwa pamba haibanduki apaka upone ngozi inaota mdogo mdogoUsinikumbushe GV Na Asprin Na tetracycline zilikuwa ni ndugu wa damu
Ukimaliza tu kuinywa basi jua kuwa umejikatia leseni ya siku 3 bila kuoga.
Pia kabla ya kunywa hakikisha una vifaa tiba kama gunzi la muhindi lililokauka kwa ajili ya kupooza miwasho midogo dogo, na kama iyo haitoshi basi kuwa na kisu butu kupoozea ile miwasho ya ghafla pale kwenye unyayo wa mguu
Tukirudi kwenye kutapika, basi jua utatapika kila chakula ulichokula, kikiisha ndipo utakapoanza kutapika maji na baadae nyongo ya njano na kijani kwa wale ma concord
lilikuwa linaotwa tincturehahaha mie nilikuwa mtundu gv ilikuwa kawaida sana kwangu na kuna lile lidawa linauma hatare la vidonda ukibandikwa pamba haibanduki apaka upone ngozi inaota mdogo mdogo
NILIMEZA SANA QUININE KLOROWIN UWI UTOTO WANGU NUSURA NIFARIKI DAWA PEKEE ILIYONIOKOA ni mwarobaini ambapo sikumoja mamangu aliona nakaribia kupoteza maisha aachemsha jungu la mwarobaini kisha aklipoepua akaliweka china akanifunika gubigubi ule mvuke wake unanitoa jasho hatare nikazidi kunyongonyea nikapoteza nguvu kabisa nikalala takriban masaa 24 kuja kuamka nalilia chakula baada ya msosi nikaanza kupata nguvu kidogokidogo japo nilikuwa dhaifu lakini niliendelea kuimarika mpaka leo sikuwahi kuugua malaria kali kabisa inanipata mara chache mnoo na nipo stable
happy born day to me ............sikufa bali nimeendelea kuishi na leo mungu ameniongezea mwaka mwingine mmoja namshukuru sana
Iodine tincturelilikuwa linaotwa tincture
asante kipenzi barikiwahappy birthday to you
Hahahha...mimi nilitumia mwaka 2000 nikiwa Chuo, nilimeza 2, baada ya masaa mawili sura yangu ikawa sawasawa na Mh. Pinda.
Nilisahau kwamba nipo allergic na chloroquine...