Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

Hongera sana kwa kufurahia wahaya kufukuzwa ...sasa kwasababu uko was furaha sana Fanya sherehe na usherehekee uikoleze furaha yako

Inaonyesha hata wewe ungepewa mamlaka ungefanya kama muhaya wa hapo sokoni, kinachokuuma hapo ni nini? Kiongozi anaajiri kabila lenu tu kwa nini wasimsambaratishe, wewe unapaswa ufurahi hata kama aliyefukuzwa ni baba ako
 
Mim naona kwa kuwa umefurahi sana wao kufukuzwa basi wew nenda uchukue hyo tenda na usiwaajiri wahaya ili uwakomoe.... Alafu tuone utafaidika na nin....
 
Jambo la.msingi siku zote... Si chuki maana hata ukiwa.na chuki kiasi gani haya makabila utakutana nayo sehem zote... Mhaya atakua.bosi wako au mfanyakazi wako... Yani kila sehem na kila mkoa..... Hata ukichukia vp... Haikusaidii hata kidogo....
 
Kwa makahaba..... Duh... Sijui hata nisemeje... Maana kila kabila sasa hv linakamchezo hako... Nenda shinyanga.... Nenda mwanza.... Nenda dodoma.... Nenda arusha...... Sasa sijui... Umekaririshwa au...
 
Katika maswala ya uongozi chagua mtu unaeona anafaaa.... Matokeo ya kuchagua kabila fulan eti kisa ni dogo ndo yanayofanya nchi hii iwe na ukabila.... Na maendeleo kiduchu... Na fikra finyu.... Open ur eyez guyz.... Leo hii wahaya wako sokon sijui akina nani wako kariakoo mara hawa wako machinjio mara wale wanauza dawa... Mara hawa sijui nin hata wew ungefanya kila mtu angefanya humu ndani
 
Kwa makahaba..... Duh... Sijui hata nisemeje... Maana kila kabila sasa hv linakamchezo hako... Nenda shinyanga.... Nenda mwanza.... Nenda dodoma.... Nenda arusha...... Sasa sijui... Umekaririshwa au...

Kamchezo gani tena?
 
Wanaposema Wahaya Wamesoma kumbe wanamaanisha kukusanya ushuru masokoni, madukani na kwenye nyumba za kulala wageni.


Nakushukuru mleta mada kwa kutufungua macho.

Kakufungua macho gani sasa...wewe nayee..
 
Sasa wewe unasikia soko linajaa wahaya, hiyo ni tabia ya kuilea kweli! Baada ya kusema na sisi wanyakyusa tufanye kama wahaya ni bora kubomoa ufalme wao
Kariakoo kumejaa wapemba na wakinga, mbona hamjawahi kufikiria kuvunja huo so called ufalme? Ni chuki za kike tu ndo mnazo because of Progressive Chagga and Intelligent Haya!!
 
Katika maswala ya uongozi chagua mtu unaeona anafaaa.... Matokeo ya kuchagua kabila fulan eti kisa ni dogo ndo yanayofanya nchi hii iwe na ukabila.... Na maendeleo kiduchu... Na fikra finyu.... Open ur eyez guyz.... Leo hii wahaya wako sokon sijui akina nani wako kariakoo mara hawa wako machinjio mara wale wanauza dawa... Mara hawa sijui nin hata wew ungefanya kila mtu angefanya humu ndani

Mkuu, wakurya wamejazana ukonga wanauza mayai hakuna mtu anayesema, ndo maana huu ni wivu wa kike
 
Kariakoo kumejaa wapemba na wakinga, mbona hamjawahi kufikiria kuvunja huo so called ufalme? Ni chuki za kike tu ndo mnazo because of Progressive Chagga and Intelligent Haya!!

No wapemba wanamiliki biashara zao, wachaga biashara zao binafsi. Hapa tunamzungumzia matumizi mabaya ya mamlaka ya serikali kwa faida ya kabila. Wahaya wakijaa kariakoo kwa biashara zao binafsi nani atawabughudhi, lakini kutumia mamlaka ya uma kikabila, hilo haliwezekani
 
No wapemba wanamiliki biashara zao, wachaga biashara zao binafsi. Hapa tunamzungumzia matumizi mabaya ya mamlaka ya serikali kwa faida ya kabila. Wahaya wakijaa kariakoo kwa biashara zao binafsi nani atawabughudhi, lakini kutumia mamlaka ya uma kikabila, hilo haliwezekani

Kwani hyo tenda ya kukusanya ushuru anayosema mtoa mada si biashara?
 
hahahaaaaaaaa! mkuu umenikumbusha kuna jamaa yangu mhaya tulikuwa naye chuo alikuwa anakataa kuwa hao watoa huduma c wahaya tunawasingizia tu cku moja nikampeleka temeke sokota kule nikamwambia asiulize kitu ackilize tu stori zao wakiwa vibarazani, akaamini mwenyewe manake ni full kihaya huko
 
Kwani hyo tenda ya kukusanya ushuru anayosema mtoa mada si biashara?

Kukusanya ushuru ni tenda ya serikali, yaani serikali inakupa department yake kwa faida uisaidie huku ukilinda usawa wa sura yake, maana unafanya kwa mamlaka yake na policy zake. Si sawa na biashara ya kutunga wewe, unaweza ukaajiri hata bibi na babu yako ukaacha kijana msukuma, hiyo ni shughuli yako,haitaihusu umma
 
Kukusanya ushuru ni tenda ya serikali, yaani serikali inakupa department yake kwa faida uisaidie huku ukilinda usawa wa sura yake, maana unafanya kwa mamlaka yake na policy zake. Si sawa na biashara ya kutunga wewe, unaweza ukaajiri hata bibi na babu yako ukaacha kijana msukuma, hiyo ni shughuli yako,haitaihusu umma

Katika tangazo la tenda machokubaliana ni masharti na vigezo... Lkn hakuna tenda yenye kigezo cha mtu anaekusanya ushuru awe kabila flan... Na kwa ufupi yule aliepewa tenda ameweka mtaji wake na analipa kodi kama mwenye duka kariakoo.... Kwa ufupu ni kwamba wamefukuzwa obvious tender iko wazi wew pia unaweza ukaomba ili uwe mfano na si kulalamika humu ndani
 
mm ni mchaga naomba niongee ukweli hapa. cc wachaga hatupendeleani sana kama wenzetu kwa sababu hatuko kitu kimoja, yaan kuna wachaga wa machame, uru, rombo, marangu, kibosho na old moshi. yaan tuko tofauti hata lugha ni tofauti kwa hyo ni vigumu kuwa kitu kimoja kwa 100%. kama tungekuwa kitu kimoja kama wenzetu wasukuma, hali ingekuwa mbaya sana. watu huwa wanaongelea wahaya, wanyakyusa na wachaga ktk kubebana lakn wasukuma wanatisha jamani ktk kubebana. mmewah kuona taasisi au idara inayoongozwa na msukuma? weka mbali na watoto
 
Back
Top Bottom