CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
BASI MIE NIKAJUA NI WALE WAHAYA WANAOTUPA HUDUMA.:tonguez:
Mama yako hampi huduma baba yako. Na mama yako ni mtoa huduma! Au na wewe anakupa
BASI MIE NIKAJUA NI WALE WAHAYA WANAOTUPA HUDUMA.:tonguez:
Basi tuache italeta ubishi wa kikabila1
Mama yako hampi huduma baba yako. Na mama yako ni mtoa huduma! Au na wewe anakupa
Mkuu Punguza Jazba!
Ubaguzi wa aina yoyote haufai.
lakini MTU kuongea Lugha yake asilia sio kosa.LA sivyo ingekuwa kosa kuzaliwa katika kabila Fulani.Lugha zote zina haki sawa.
Acha matusi!
Kiongozi mkuu wa uongozi wa utozaji ushuru na usafi soko la ilala alikua ni muhaya ikawa kila mtoza ushuru kila kona ya soko ni muhaya.
Soko likajaa watu wa kabila moja tu, kila ikitangazwa kazi wanapewa wahaya tu.
Mamlaka ya soko hilo imeamua kuufukuza uongozi wa utozaji ushuru na usafishaji wa soko sababu zipo nyingi lakini kubwa ni mbili;
1. Ni kukithiri kwa uchafu sokoni, wameshindwa kudhibit uchafu.
2. Ukabila, uongozi una ubaguzi wa kikabila unatoa ajira kwa kabila moja tu (wahaya).
Source: mi mwenyewe nilikuwepo wakati wa utoaji wa tamko hilo.
Thread imekaa kibaguzi baguzi na sina uhakika kama mletaji hakuwa na lake moyoni kuhusiana na kabila husika!
Basi kama vipi wapeni Wakwere tuondokane na hizi lawama maana kama ni uchafu dar es salaam yote inanuka na sio soko la ilala tu.
Mi Sijamtusi Mtu.
Kuna makabila mengine Ni mtihani kwakweli,,Sa sijui inakuwaje mtu wa kabila ilo km ikitokea akawa president,Ni hatari
Aah mimi nilijua labda wale makahaba wa kihaya
Hata mimi aisee