Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!