residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Nimeanza kufuatilia uchaguzi kwa kupiga kura 1990. Sijawahi ona upuuzi kama huu. Niliwahi fanya kazi na REDET na TEMCO,sijawahi shuhudia ushenzi kama huu.Post yangu namba #18 kwenye uzi huu inakupa majibu ya maswali yako.
Btw, ukatwaji umekuwepo tokea uchaguzi wa kwanza 1995, sio jambi geni. Rufaa za kabla ya uchaguzi na baada ya uchanguzi nazo zimekuwepo tokea 1995. Tatizo mitandao inaongozwa na vijana ambao aidha wavivu wa kumbukumbu, au hawakuwepo kwenye ulingo wa siasa za miaka ya zamani. Ndio maana wengi wanaona ni jambo la ajabu, lakini sio jambo la ajabu.
Unajua maana ya kuingia barabarani?SWALI, unategemea nini kitatokea wakiingia barabarani?? Watapikiwa chai na chapati??
Amen.Mungu ibariki CHADEMA.
Ebu acha ujinga. Fitna za kijinga zinafanyika afu unasema ni anomalies za kipuuzi hizo ?Vyama vya siasa vinatakiwa kutoa elimu kwa wagombea wao kwa wakati. Mtu anajaza jina lake kwenye sehemu ya tarehe ya kuzaliwa, unategemea msimamizi wa uchaguzi atafanya nini. Kama ni job interview, unategemea utaitwa tena?
Nimeanza kufuatilia uchaguzi kwa kupiga kura 1990. Sijawahi ona upuuzi kama huu. Niliwahi fanya kazi na REDET na TEMCO,sijawahi shuhudia ushenzi kama huu.
Weka ushahidi wa haya kufanyika awamu zilizopita. Irregularities hazikosekani lakini ni kwa kiwango gani!?
Pemba 2001 waliongia barabarani, nini kilitokea?? Unaweza kukwepa swali lakini ukweli ndio huo.Hi
Unajua maana ya kuingia barabarani?
I don't remember anywhere I called you a fool or anything like that.Ebu acha ujinga. Fitna za kijinga zinafanyika afu unasema ni anomalies za kipuuzi hizo ?
Kwa hiyo akikosea kujaza ndio kafeli auVyama vya siasa vinatakiwa kutoa elimu kwa wagombea wao kwa wakati. Mtu anajaza jina lake kwenye sehemu ya tarehe ya kuzaliwa, unategemea msimamizi wa uchaguzi atafanya nini. Kama ni job interview, unategemea utaitwa tena?
Hakuna kurekebisha au kurekebishiwa, maana ikirekebishawa vyama vingine vitaweka pingamizi na utaenguliwa. Ni sawa mwalimu akujazie mtiani wa la saba au kidato cha nne, na wenzako walalamike.Kwa hiyo akikosea kujaza ndio kafeli au
Msiwafanye watu wapumbavu, kuna siku yatakwisha haya!Huu ni utaratibu wa ndani ya CCM na sio vyama vingine, vyama vingine wao wanajiamini kama watu wateule wao wanauwezo wa kujaza fomu. Matokeo yake wale walipitisha fomu kwa mwanasheria, fomu zao hazina kosa hata moja, na wale ambao hawakupitisha kwa mwanasheria, wao wana 50% ya makosa. Je ukiwa mwenyekiti wa chama chako itatafuta mchawi wapi, tume au uliowateuwa wako?
Mtu anaambiwa banduka picha mbele kwenye fomu hii, haweki. Jaza tarehe ya kuzaliwa, anaweka tarehe ya kupeleka fomu. Unategemea nini kitatokea?
Hakuna kitu kama hicho hizo form zilikuwa zinachezewaVyama vya siasa vinatakiwa kutoa elimu kwa wagombea wao kwa wakati. Mtu anajaza jina lake kwenye sehemu ya tarehe ya kuzaliwa, unategemea msimamizi wa uchaguzi atafanya nini. Kama ni job interview, unategemea utaitwa tena?
Kwahiyo viongozi wa sasa wa vyama vya siasa huwa wanafunga ofisi za wakurugenzi ili wasiweze kupokea form?Tena umesema jambo la maana sana, miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na viongozi makini wa upinzani, sio wa sasa wanaopenda kutengeneza figisu zisizo na tija kwa mwananchi. Kiongozi unasema nitaruhusu wananchi wamwage damu kama sitashinda uchaguzi. Au unaenda kupigana na askari magereza eti tu uonekane unaonewa. Sidhani kama Marehemu Mzee Bob Makani angeweza kufanya uchafu kama huo.
Huyu Judge wa hovyo sana hata uchaguzi wa Ukonga wa marudio aliuvuruga mwenyewe huyu mzee.Huyu Jaji anajivunjia Sana heshima
Kuna kazi zingine za lawama sana
Hata sheria ya uchaguzi hakuna sehemu yoyote inaposema mgombea anyang'anywe haki yake kwa kukosea kujaza fomu.Tunapaswa kufikia hatua ya Tume kuchukua kumwomba mgombea kutoa taarifa na wao kuziweka katika database (ikiwa na dropdown menu) na kisha kuprint na mgombea kusaini wa kalamu na dole gumba. Na Tume kupokea tu barua ya utambulisho kutoka chama husika. Haina maana yoyote makosa ya kiuandishi kumnyang’anya raia haki ya kikatiba!! Tume badala ya kukuza ushindani, inaondoa ushindani!!
Bado tunatumia makaratasi kudhulumiana!! Shame on Tume!!
Ikiwa unapelaka fomu yako mguu kwa mguu na unakabidhi ikiwa nje ya bahasha, kila mtu anaona, na unathibitisha kama ni wewe ndio ukiejaza fomu kwa kuweka saini. Huo mchezo imechezwa wapi? Maana nakala ya fomu ipo, kwenye rufani itatolewa. Nani atacheza huo mchezo ambapo anajuwa rungu litamuangukia yeye siku ya rufani.Hakuna kitu kama hicho hizo form zilikuwa zinachezewa