NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Makamanda buku wapo Dodoma wameenda kuomba poo.
Lissu ndio alisema ameweka pingamizi kwasababu ni haki yake kuweka pingamizi hata kama hakuna kosa au hoja ya kuweke pingamizi. Kama sio kupoteza fedha ya umma ni nini?Iwekwe hadharani na fomu ya Magufuli iliyowekewa pingamizi tujue kwa nini yake ilitupwa na za wabunge na madiwani zilipita.
Halafu hizi sheria zingine kama utawala wa mbuzi, sifa kuu ya kumzuia MTU kugombea badala ya zile za uraia, maadili, umri nk ndio kutumika zinatumika za kijinga kama picha kubandikwa vibaya, na makosa ya herufi nk?
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?
CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook
Huu ni uhuni, mwenyeketi wa tume awajibike moja kwa moja kurekebisha kasoro hizo, ili vyama vyote vilivyoweka wagombea vishiriki uchaguzi mkuu, waache uhuni kama wafanyavyo miaka yote.Kamati za maadili ya uchaguzi wanazo hizo taarifa, siwezi kuweka hapa mimi sio msemaji wa tume lakini fomu zilizojaa makosa ziko nyingi tu. Tena saa nyingine utafikiri kama ulikuwa mkakati wa makusudi. Lakini ndio imekula kwao tena.
View attachment 1555958
Kamati za maadili ya uchaguzi wanazo hizo taarifa, siwezi kuweka hapa mimi sio msemaji wa tume lakini fomu zilizojaa makosa ziko nyingi tu. Tena saa nyingine utafikiri kama ulikuwa mkakati wa makusudi. Lakini ndio imekula kwao tena.
View attachment 1555958
Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?
CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook
Tena umesema jambo la maana sana, miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na viongozi makini wa upinzani, sio wa sasa wanaopenda kutengeneza figisu zisizo na tija kwa mwananchi.Tangu 1995 tuna chaguzi zinazo husisha vyam vingi, hakukutokea haya tuyaonayo awamu hii. Kuna udhahifu kwenye tume. Ni ktk chaguzi za za awamu hii tumeanza kushuhudia maafisa wa tume wakifunga ofisi zao ili mgombea flani ashindwe
kuchukua/kurjesha form. .......
Mwaka huu TUME wakileta ungese, kuna watu watapoteza vichwa vyao.Tume ya Uchaguzi walitakiwa kujiongeza badala ya kuteua makada wa CCM Mpya waliojificha chini ya mwamvuli wa Mkurugenzi DED wa Halmashauri / Wilaya kuwa wasimamizi wa uchaguzi huku DED-Wakurugenzi wakiwa hawapo huru na wakitumika kisiasa na CCM Mpya.
Sasa pressure kubwa imehamia Ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Taifa huku wagombea wa Urais na ubunge wa CCM Mpya na kina Polepole na Bashiru wakijifanya hawahusiki na uchafuzi huo.
Hebu tutolee UPUUZI wako! Unadhani kwanini Mkapa hakuwa na imani na hiyo tumeccm? Unadhani ni kwanini enzi za chama kimoja kwa miaka chungu nzima hakuwahi kuenguliwa mgombea yeyote yule!?
Usidhani Watanzania wote ni WAPUMBAVU hatujui uhuni unaoendelea ambao msimamizi wake ni huyo anayejiita KICHAA.
Jikite kwenye hoja, kwani upinzani tu ndio uonekane unakosea taratibu na kanuni za uchaguzi? Hili ni swali ambalo upinzani wamekuwa na muda kulitafutia ufumbuzi, (tokea uchaguzi wa serikali za mitaa) lakini wameamua kulipuuzia. Na yote hii inatokana na mambo mawili, ukwasi, na kutengeneza hoja.
Kamati za maadili ya uchaguzi wanazo hizo taarifa, siwezi kuweka hapa mimi sio msemaji wa tume lakini fomu zilizojaa makosa ziko nyingi tu. Tena saa nyingine utafikiri kama ulikuwa mkakati wa makusudi. Lakini ndio imekula kwao tena.
View attachment 1555958
Iwekwe hadharani na fomu ya Magufuli iliyowekewa pingamizi tujue kwa nini yake ilitupwa na za wabunge na madiwani zilipita...
Hii ndio nafasi ya kuaamua ktk bailout box , wamalawi wameweza ,wacongo wameweza , sasa Tanzania muda umefikaSio wote walio ndani ya nyumba wanafurahia mfanyakazi anapofagia na uchafu kuusukumizia chini ya carpet.
Ndugu kama hizo ndo sababu, then pia tukubali kuwa tume nayo imekosa watu makini. Kipindi cha akina Makani, ilikuwa nadra sana kwa afisa wa tume kufunga ofisi ili kuenguwa wagombea fulani.Tena umesema jambo la maana sana, miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na viongozi makini wa upinzani, sio wa sasa wanaopenda kutengeneza figisu zisizo na tija kwa mwananchi. Kiongozi unasema nitaruhusu wananchi wamwage damu kama sitashinda uchaguzi. Au unaenda kupigana na askari magereza eti tu uonekane unaonewa. Sidhani kama Marehemu Mzee Bob Makani angeweza kufanya uchafu kama huo.
Nakuunga mkono hoja yako, hata sisi huku wanyumbani tunahamasishana, wengi wanasema inatosha yatupasa kuishi kwa utaratibu, sheria na muongozo wa nyumbani sio kwaajili ya mfanya usafi.Hii ndio nafasi ya kuaamua ktk bailout box , wamalawi wameweza ,wacongo wameweza , sasa Tanzania muda umefika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, safi sanaNakuunga mkono hoja yako, hata sisi huku wanyumbani tunahamasishana, wengi wanasema inatosha yatupasa kuishi kwa utaratibu, sheria na muongozo wa nyumbani sio kwaajili ya mfanya usafi.
"Don't loose your (ones) soul to gain the world. Wisdom is better than silver and gold"nafikiri nj
Nafikiri njia sahihi ni kuondoka na vichwa vya wakurugenzi 10 hivi na familia zao ndo watapata akili na kujua kuwa dhulma ni kitu kibaya. mambo ya kihanithi kweli kufanywa na watu wenye mpk PhD. Ujinga uliovuka mipaka.