residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 6,969
- 9,516
Nimeanza kufuatilia uchaguzi kwa kupiga kura 1990. Sijawahi ona upuuzi kama huu. Niliwahi fanya kazi na REDET na TEMCO,sijawahi shuhudia ushenzi kama huu.Post yangu namba #18 kwenye uzi huu inakupa majibu ya maswali yako.
Btw, ukatwaji umekuwepo tokea uchaguzi wa kwanza 1995, sio jambi geni. Rufaa za kabla ya uchaguzi na baada ya uchanguzi nazo zimekuwepo tokea 1995. Tatizo mitandao inaongozwa na vijana ambao aidha wavivu wa kumbukumbu, au hawakuwepo kwenye ulingo wa siasa za miaka ya zamani. Ndio maana wengi wanaona ni jambo la ajabu, lakini sio jambo la ajabu.
Weka ushahidi wa haya kufanyika awamu zilizopita. Irregularities hazikosekani lakini ni kwa kiwango gani!?