Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,933
Pole sana ndugu yangu,kama wewe ni mpagani hakuna asiyejua kama uchawi upo,kama wewe ni muumini wa dini zote,vitabu vyote vinaelezea kuhusu uchawi,lakini wengi wa wachawi huwa wanakataa kukubali uchawi upo,yawezekana ukawa mchawiUc
Uchawi haupo, ni imani zinazotokana na Ujinga.
Na kutokubariana na Ukweli unaoishi, unaotamburika mpaka na Vitabu vya Dini ni Upumbavu zaidi.Cheki mtu mzima anasema eti kuna mtu anakuwa mamba!! Waamini uchawi ni watu wapumbavu zaidi duniani.
Kweli kabisa,sawa na waliopewa dhamana ya kusimamia uchaguzi halafu wanaiba kuraUkimsikia mtu anapinga kuwepo kwa wachawi, mwangalie Mara mbilimbili, utakuta anafuga bundi ili kuwinda panya!, anamiliki fisi usiku ili kulinda mifugo! Wachawi wanataka "maggles" kwa mujibu Harry Potter wasijue kinachoendelea duniani
Ila wewe ujue ni comedian🤣Kigoma vs Sumbawanga. Vita yake si ya kitoto. Ilipaswa ioneshwe live Azam tv
Miongoni mwa mikoa ambayo Ina watu primitive, wasiopendana, wasiojali utu ni wakigoma(Muha). Ni WA ovyo sana Hawa watu, nadhani ndo maana mkoa huu una changamoto za kimaendeleo. Ubishi, na kujifanya wajuaji(much know)
Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.
Baadhi wa Wananchi walikusanyika na kuandama barabarani wakiimba “Tumechoka na uchawi” huku wakisapoti kile kinachofanywa na Viongozi wao.
Hata hivyo operesheni hiyo imepingwa vikali na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ambaye amezuiwa kuingia kijijini hapo ikiwa yupo kinyume cha mpango huo.
DC Dinah Mathamani amesema “Tumejadili na viongozi kuhusu suala hili, wale wanaojiita Waganda wanatakiwa kuondoka katika wilaya yetu, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao na viongozi wanaoshirikiana nao.
Chanzo: UFM
Eti hata upige risasi ngapi humuui? Mtu asipokufa ni mipango ya Mungu tu na siyo nguvu za uchawi vinginevyo hao Wachawi wenyewe wasingekuwa wanakufa.Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Watapigwa tu achana mchana kweupeEti hata upige risasi ngapi humuui? Mtu asipokufa ni mipango ya Mungu tu na siyo nguvu za uchawi vinginevyo hao Wachawi wenyewe wasingekuwa wanakufa.
Kwa uwezo huo basi huyo Mchawi anaweza zuia hata kifo.Imani zingine zinachekesha sanatwende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.
baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk
dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.
baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk
dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Dark arts,hebu nipe a,b,cUchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Halafu huyo huyo DC anamuamini MUNGU ILA hataki kuamini uwepo wa shetaniNaunga mkono uamuzi wa wanakijiji. Kwa kuwa Serikali yenu inajifanya kutoamini uchawi japo wanakesha kwa Sangoma kutafuta vyeo. Basi wananzengo acha wawasake wachawi wenyewe. Na huyo DC aoneshwe advertise kidogo. Ajikute uchi ofisini.
Yapo majambazi mengi huku Kigoma yame survive risasi sababu ya hizo chale. Ushirikina unatumika ndugu hata kikosi kilichokua kinawasaka kilikua kimeiva kwenye "dark arts".Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.