PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
| | |
|
| | |
|
Hizi tabia za wafungwa kuchomana visu na kuuwana mara nyingi tunasikia kutoka Mexico City, Peru, Bolivia kwenye nchi za biashara ya madawa ya kulevya...sasa imefika mpaka Tanzania, ni uzembe wa Askari Magereza kuwatetea manyampala..
Hivi katika tukio hilo watuhumiwa watakamatwa na kushikiliwa kwa mahojiano au? Maana tayari wamo gerezani sasa sijui inakuwaje?
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Hivi katika tukio hilo watuhumiwa watakamatwa na kushikiliwa kwa mahojiano au? Maana tayari wamo gerezani sasa sijui inakuwaje?
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Mkuu katika Magereza ya Tanzania Manyapara wanatumika kama sales agent wa bange,Unga,sigara na mengineyo wa maaskari magereza.So nyapara anakuwa na Nguvu,kibri kuliko ata baadhi ya Askari.Hizi tabia za wafungwa kuchomana visu na kuuwana mara nyingi tunasikia kutoka Mexico City, Peru, Bolivia kwenye nchi za biashara ya madawa ya kulevya...sasa imefika mpaka Tanzania, ni uzembe wa Askari Magereza kuwatetea manyampala..
Hizi tabia za wafungwa kuchomana visu na kuuwana mara nyingi tunasikia kutoka Mexico City, Peru, Bolivia kwenye nchi za biashara ya madawa ya kulevya...sasa imefika mpaka Tanzania, ni uzembe wa Askari Magereza kuwatetea manyampala..
Kesi mpya ya mauaji haihusiani na hizo wanazotumikia sasa hivi.
Wafungwa wauana au Mfungwa auawa?
Hivi katika tukio hilo watuhumiwa watakamatwa na kushikiliwa kwa mahojiano au? Maana tayari wamo gerezani sasa sijui inakuwaje?
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com