zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mkuu zomba,
Naona hujanielewa. Nilikuwa nasema hivi, kwa vile utaratibu ni kwamba mtuhumiwa anakamatwa na kuwekwa mahabusu kwa ajili ya mahojiano na uchunguzi kabla ya kesi kwenda mahakamani, sasa hawa wenzetu tayari wapo gerezani wanatumikia vifungo vyao. Je watatolewa gerezani wapelekwe mahabusu ili wahojiwe au inakuwaje? Na je wakipelekwa mahabusu si watakuwa wamekatishiwa vifungo vyao vya sasa? Au mahabusu yao itakuwa gerezani humo humo? Na je kama tuhuma zao za sasa zinadhaminika na wakatimiza masharti ya dhamana wataruhusiwa kuwa nje ya mahabusu? Umenisoma Mkuu wangu?
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Nimekusoma. Watakuja waatalamu zaidi kujibu hoja zako. Nijuavyo, ukiwa mfungwa na una kesi zingine za kujibu, unakwenda mahakamani na inahesabika kuwa ni mfungwa.