IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Kwani ile habari ya kijana wa mkubwa kukamatwa huko China na madawa ya kulevya ilifikia wapi? Kwa serikali sikivu , huu ni upepo tu na utapita,
Yaweza pia kuwa tactic ya siasa zetu ucharwa ili kushift focus ya watanzania kutoka kwenye Katiba!
Yaweza pia kuwa tactic ya siasa zetu ucharwa ili kushift focus ya watanzania kutoka kwenye Katiba!