Biashara ya madawa ya kulevya chini ya uongozi wa Samia

Kitana

Member
Jun 11, 2016
12
44
Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.

Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
 
Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.

Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Samia ni janga la taifa,ukisema watu wake utasikia amefungua nchi kumbe amefungulia wizi mtupu.Ee Mungu tusaidie.
 
Next time MZUNGU WA UNGA ni namna ya Kuwaita watu wenye Moyo Safi na mikono Yao si ya bilika ndiyo maana unaona hao wasanii wanajazana hapo kwake huyo wa Ununio , Hili doa Kwa mtawala inampasa kulichukulia Kwa uzito kunusuru vizazi vya Leo na kesho(ikiwa hakuna fitna Kati ya habari hii).
 
Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.

Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Ni vizuri mambo mazito kama haya yakawa na evidence walau picha....
 
Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala wa Kikwete. Ukosefu wa utawala wa sheria ndiyo sababu kuu iliyopelekea Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais. Pesa haramu ndizo zinaendesha uchumi wa nchi yetu. Namba ya usajili wa mgari “D” ilikaa kwa miaka minne wakati wa Magufuli lakini namba “E” imeisha ndani yam waka mmoja wa Samia.

Kwa mfano, Bahari Beach ndiyo imekuwa makao makuu ya kuuza unga. Ukienda jengo la supermarket ya Jambo, utawakuta wasanii wote wanaoshiriki kwenye biashara za madawa ya kulevya wanacheza mziki, kuvuta madawa na bangi asubuhi mpaka alfajiri. Mwenye eneo hilo anajulikana kuwa mzungu wa unga (anaishi eneo la Kilimo Kwanza Ununio). Watu kama hawa wanalindwa na vyombo vya dola. Wanatoa michango kwa CMM kubaki salama. Mambo ya Tanzania yanakatisha tamaa.
Raisi wa Tanzania amezikwa Chato
 
Back
Top Bottom