JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Akiongea asubuhi hii kupitia television ya ITV mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndugu Albert chalamila amesema kuwa wamewakamata wakuu kabisa wa madawa ya kulevya aina ya heroin baada ya kukamata tani tatu za madawa hayo yenye thamani ya zaidi ya billion 100 ila hawatawataja kwa sasa kwakuwa kuwataja kutaharibu upelelezi.
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi. Mae
Pia soma: Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi
Kawaida mi nilijua kuwa ukimkamata muuzaji mdogo au wa kati wa madawa ya kulevya humtaji ili usiharibu upelelezi ili umkamate bosi wake.
Sasa umeshamkamata big boss wa madawa ya kulevya unaogopa kumtaja kwa kuogopa kuharibu upelelezi upi? Au unataka uwakamate wale wadogo?
Si umeshamkamata bosi huyu si ndo anawajua wadogo wote?
Sema 100 billion ni hela nyingi sana ngoja tuone iyo haki inavyofanya kazi. Mae
Pia soma: Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi