guys , kikao gani mnaongelea hapa?
Umesahauje jamani,
tena msipende kuwasindikiza wajane baada ya vikao.
sijui kwanini anawaogopa polisi jamii wakati yeye siyo naniiiiiii
sasa tunakupataje.......halafu kwenye kikao kijacho cha harusi....mtakuwa Arushaone wawili.....? mtawatatiza polisi jamii....
Kuwasindikiza sio vibaya. Vibaya ni kuingia kwenye vichochoro vya uswazi. Pia ukiwawashia full wale polisi jamii wanakupga pistol
Yuko kwenye ukaguzi.
Kalagabaho!Shemeji yupi huyo! Mbona mimi sijasafiri!?
Mmmhh Mamndenyi usitufundishe roho mbaya, manake hata maandiko matakatifu yanatufundisha kuwasaidia yatima, na WAJANE, bila kusahau kuwatembelea wagonjwa
Mamndenyi mjane ni tofauti na wake za watu, tunashauriwa kula mke wa mtu kwa akili, ukijifanya mjinga ukamla halafu umsindikize mpaka home kwake unakutana na polisi jamii.Na yanakataza kula na kulala kwenye nyumba za wajane,
sijui kama Asprin anayajua hayo maandiko.