mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,837
- 106,041
Vp injinia!we ushapiga chanjoNenda kachanje wewe, wameshaanza kugawa chanjo huko
Ova
Vp injinia!we ushapiga chanjoNenda kachanje wewe, wameshaanza kugawa chanjo huko
Haya lete stori kamili nini hasa kimetokea na nini kinaendelea sasaNmetulia
Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Mkuu wanaandamania kwenye bedrum Nani akavunjwe viungo bila sababu za msingiAu waandamane hukohuko walipo?
nimeshuhudia kuna jamaa alienda kutolewa kwenye gari ya mnyika kwakushika bango wakamfuata kwenye deffender kashakalishwa chini wanampa maneno ya ajabu kweli eti nenda tu kuwa na amani tutakuja kukutoa polisi au mahakamani yaani mwenzenu anaenda kunyea ndoo mpaka mje kumtoa kasota sana wao sasahivi wanaenda kugonga chias sehemu hawana shida yoyote yeye watoto wake na mkewake wanahaha baba yuko wapi niujinga wa kiwango kikubwa sanahao ndio wajinga kweli.
unakuta mtoto wa mbowe na familia yake mida hii wamekaa kwenye sofa wanaangalia tv wewe mlala hoi Zuzu unachezea kichapo na kuishia mahabusu.
akili ndogo sana , wanatumiwa bila kujitambua, wamejazwa upepo, hapo huwezi kumkuta mke wa Myika wala mke wa mrema,
kuweni na akili acheni kutumiwa.
huo ndiyo umati wanaosema wamejazana mahakamani yaani chadema wanajipaga matumaini ya kijinga sanaWatu wako wapi hapo, naona waandishi wa habari ndio wengi karibu na polisi, watu wa chadema mbona hakuna.
Pole,Mbona hakuna nyomi?
tuliambiwa jiji litasimama leo
wale wa mikoani vipiii
Polisi wakiona comment Kama hizi wanaona wanachokifanya ni sahihi...Safi jeshi la polisi kwa kuwadhibiti,wanataka kutuletea machafuko hao.
nimeshuhudia kuna jamaa alienda kutolewa kwenye gari ya mnyika kwakushika bango wakamfuata kwenye deffender kashakalishwa chini wanampa maneno ya ajabu kweli eti nenda tu kuwa na amani tutakuja kukutoa polisi au mahakamani yaani mwenzenu anaenda kunyea ndoo mpaka mje kumtoa kasota sana wao sasahivi wanaenda kugonga chias sehemu hawana shida yoyote yeye watoto wake na mkewake wanahaha baba yuko wapi niujinga wa kiwango kikubwa sana
Yaonekana unapendwa sana na Sirro, Muliro na Shetani, nawe unawapenda.nimeshuhudia kuna jamaa alienda kutolewa kwenye gari ya mnyika kwakushika bango wakamfuata kwenye deffender kashakalishwa chini wanampa maneno ya ajabu kweli eti nenda tu kuwa na amani tutakuja kukutoa polisi au mahakamani yaani mwenzenu anaenda kunyea ndoo mpaka mje kumtoa kasota sana wao sasahivi wanaenda kugonga chias sehemu hawana shida yoyote yeye watoto wake na mkewake wanahaha baba yuko wapi niujinga wa kiwango kikubwa sana
This should be a nonstop phenomenon. "Wapambane hadi kieleweke".Hali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwa maana ni maandamano yasiyokuwa na fujo hapo wengine wameshakula nduki na wanakimbizwa
View attachment 1880555
View attachment 1880557
View attachment 1880558
View attachment 1880559
View attachment 1880556
View attachment 1880560
wewe sasahivi uko uraiani kwenye keyboard mwenzio mpaka sasahivi keshakula virungu kadhaa huo ni ujinga mkubwa mno anayeweza kufanya ni kama nyie tuYaonekana unapendwa sana na Sirro, Muliro na Shetani, nawe unawapenda.
Siku wakija Magaidi Og usianze kupiga keleleMagaidi yana umoja mno .
Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
HahahaahahahahahWingi wetu na umoja wetu ndiyo ngao na silaha yetu kuu.
Waandae magereza zaidi.
Kitu pekee polisi yetu inaweza kufanya,Hali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwa maana ni maandamano yasiyokuwa na fujo hapo wengine wameshakula nduki na wanakimbizwa
View attachment 1880555
View attachment 1880557
View attachment 1880558
View attachment 1880559
View attachment 1880556
View attachment 1880560