Wafanyakazi watakaokataa kujiunga na DP World watapelekwa kufanya kazi bandari nyingine. Je, TPA wamekabidhi bandari yote Dar kwa DPW?

who knows ni management au wafanyakazi? Mara ngapi jpm kabadilisha management ya badnari and then madudu yaliendelea?

Hii kitu ni chain ndefu sana from top to bottom
Duuh!!!
Mbona jpm baada ya maboresho aliwaambia wasiingie mikataba na private sector.
Lakini unaonekana akili umeshikiwa na wanasiasa ndio maana unaamini kila unacho ambiwa na wanasiasa.
Hapo bandarini kuna TPA na TRA inaonekana hujui hata nani mwenye matatizo
 
Duuh!!!
Mbona jpm baada ya maboresho aliwaambia wasiingie mikataba na private sector.
Lakini unaonekana akili umeshikiwa na wanasiasa ndio maana unaamini kila unacho ambiwa na wanasiasa.
Hapo bandarini kuna TPA na TRA inaonekana hujui hata nani mwenye matatizo
sijashikiliwa akili na mtu yoyote, jpm alise hiv alisema vile, ndio aliboresha outcome ilikuwaje?
Mimi shishabikii private sector, ila tuna alternative nyingine ya ku run bandari more efficient?
 
sijashikiliwa akili na mtu yoyote, jpm alise hiv alisema vile, ndio aliboresha outcome ilikuwaje?
Mimi shishabikii private sector, ila tuna alternative nyingine ya ku run bandari more efficient?
Mkuu yawezekana unacho kiongea hau kijua ndio maana umeshindwa kujua tatizo la bandari ni management au wafanyakazi na uhakika hata hivyo vingine unavyo visema huvijui.
Mara zote unaposikia TRA imevunja rekodi ya kukusanya mapato jua hayo mapato yametoka bandarini.
TRA ndio inayo kusanya mapato bandarini unaposema TPA wanaiba mapato nina uhakika umesikiliza wanasiasa.
Bandari ndio ilikuwa hotcake iliyokuwa imebaki mikononi mwa serikali.
Unaijua ppp!?
Ni kweli kuna watu watapoteza kazi lakini hayo ni madhara dogo madhara makubwa serikali itayaona na inafamu sema kwa vile kuna wanufaika wakubwa ndani wamefumba macho
 
wabongo mkipata kazi sekta za umma fanyeni kazi acheni uswahili,rushwa,wizi na kukandamiza watu.
sekta ikidumaa linakuja wazo la kuboresha linawafyekelea mbali.
kigari chenyewe cha mtumba alafu bado wamechomoa side miror,betri na redio.
 
Mkuu lazima tukubali kwamba sisi kuendesha tumeshindwa. Na kushindwa kwetu kunachangiwa na sisi wenyewe kukosa uzalendo wa kusimamia rasilimali tulizo nazo.pili mwekezaji anakuja na teknolojia na fedha of which si kama tungeshindwa lakini tatizo sisi wenyewe bado hatupo tayari.
Wangeanza na uwekezaji kwenye upande wa utawala. Hapa kwetu tatizo kubwa ni utawala. Siku tukipata watawala toka nje ya nchi yetu itaenda vizuri. Ni vizuri tukubali kuwa tumeshindwa kujiongoza.
 
Hakuna private sector inaweza kuwa na ufanisi ikikabidhiwa mali za umma, private sector always inachowaza nikuiba iwezavyo itengeneze faida kubwa kabla ya mkataba kuisha

Na hapo kwenye faida kubwa ndipo uzaliwa siasa chafu za uendeshaji, rushwa, ukwepaji kodi nk

Ni lini tumewahi kunufaika na madini? Lakini pamoja na kutonufaika unafahamu watanzania wanavyonyanyasika migodini? Wanabanwa si kwa .aslahi ya nchi, wanabanwa kwa maslahi ya mabeberu.

Same applies to DP world investment, tutegemee watu wetu kuwa watumwa huku RAIA wa kigeni wakiishi kama wafalme. Tutegemee sehemu zote za ukwepaji kodi tukiambiwa hakuna mtanzania anaweza kufanya kazi eneo hili watafanya wageni

Tutegemee mafunzo yatakayotolewa kwa watanzania yasiwe na tija kwao ili waweze kupata uncolified individuals kwa kigezo cha kusaka qualified from abroad

Tanzania tunaua nchi yetu kwa kufikiri misaada na kukabidhi mali za umma kwa wageni . Ipo siku tutashindwa kulipa hata salaries za watumishi kwa sababu vyanzo vyote vimeshikwa na wageni
Kisha hao ndiyo wataamua nani awe Rais na nani asiwe...
 
Duh, yaani bandari yote imeuzwaaa na sikugawiwa! Laa Haula walaa Quwwata illa Billahi. Tutakutana akhera!
 
Back
Top Bottom