Wafanyakazi benki acheni ulimbukeni

Wafanyakazi benki acheni ulimbukeni

Mleta mada mbona kama iyo ni pale petrol station? Hakuna nembo yoyote inayoonesha strongroom seal sasa ww umejuaje ni Benki? Alaf kama iyo hela ni mkusanyiko wa strongroom basi iyo ni sacoss .... Au ni strongroom ya braza rugemalira!!
 
Bank kazi zote utafanya, leo teller kesho upo customer service desk, kesho kutwa loan officer, badae mhasibu back office. Kuna kitu inaitwa job rotation unless upande cheo uwe MANAGER

The end justifies the means!! Hapa unampigia mbuzi gitaa , hawa woote wanaodharau kazi za watu ukivisit thread contributions zao wengi ni jobseekers ambao kwa sasa title yao wanaitwa JOBLESS, .....vijana wanapiga kazi, jobless wanawakatisha tamaa!!

Juzi ijumaa kabla ya swala, nikiwa namalizia kazi za wikend nikapita reception nikakuta kijana mmoja age kama 35 anaongea na mzee mmoja wa reception, sikusimama nkaenda ofisini. Ghafla mzee ananijia eti kuna ndugu yako anakuhitaji! Ndugu? OK mwambie aingie! Kufika tu nkamuuliza unamtafuta nani!? Ooh nimeelekezwa kule juu kuwa unapatikana APA, nkamuuliza uko juu nani kakuelekeza maana mm simjui MTU nimehamia ofisi hii si muda? Akakosa majibu , OK shida ni IPI? Ooh tuongee faragha, nkamwambia hapa ni ofisi yangu ongea, ...kaka sina kazi na mke wangu kajifungua nimemrudisha upareni, apa sijala siku2 ....bla bla kibao , nkajua sasa anatoa CV ...nkahoji kwa iyo? ....eti kaka kama una elfu50 utakuwa umeokoa maisha yangu, ..na siasa nyingi juu, ...nkaona ananipotezea muda, nkamwambia mwambie mzee apo akupe 30 ...akashukuru mpaka basi then akaondoka.... Unajua nilifanyeje? Nilimrudishia mzee 20 na 10 nkamwambia ni gharama ya kunilengeshea Matapeli, ....akanuna!!
ALAF UKU JF UNAKUTA MTU MZIMA ANABANA PUA, KAZI FLANI YA KIKE, PUMBAFU MNATAKA KUOLEWA TU , KAZI HAMTAKI VIDUME!!!
 
Smart phone ukipiga picha GPS iko on mtu anaweza kulocate hiyo picha imepigwa sehenu gani hadi akafika.

Ni ushamba na ulimbukeni wakivamiwa wanaanza kulialia
 
kila kazi onayomwingizia mtu kipato ni nzuri!! haijalishi ni profession au la na utofauti huo ndo u complex wa nchi..
 
Nimewahi kumwambia rafiki yangu, anafanya sales kwenye kampuni moja hivi, nikamwona kupiga picha akaiweka kwenye fb akihesabu hela za bosi wake ofisini, nkamwambia hiyo picha haifai kwani wajichoresha kwa jamaa, kesho yake akaitoa ni hatari, sijui kuna watu ufanya vitu bila kujua athari yake? Duh.
 
Mwanaume kufanya kazi ya u teller ni upumbafu

Wewe ndio punguani namba 1. Utadharauje kazi ya mwenzako hata kama ni muokota makopo? Unawasaidia nini wewe. Hiyo kazi yako ya ushoga ndio unaona dili sana. Nyambafu paka mweusi wewe.
 
The end justifies the means!! Hapa unampigia mbuzi gitaa , hawa woote wanaodharau kazi za watu ukivisit thread contributions zao wengi ni jobseekers ambao kwa sasa title yao wanaitwa JOBLESS, .....vijana wanapiga kazi, jobless wanawakatisha tamaa!!

Juzi ijumaa kabla ya swala, nikiwa namalizia kazi za wikend nikapita reception nikakuta kijana mmoja age kama 35 anaongea na mzee mmoja wa reception, sikusimama nkaenda ofisini. Ghafla mzee ananijia eti kuna ndugu yako anakuhitaji! Ndugu? OK mwambie aingie! Kufika tu nkamuuliza unamtafuta nani!? Ooh nimeelekezwa kule juu kuwa unapatikana APA, nkamuuliza uko juu nani kakuelekeza maana mm simjui MTU nimehamia ofisi hii si muda? Akakosa majibu , OK shida ni IPI? Ooh tuongee faragha, nkamwambia hapa ni ofisi yangu ongea, ...kaka sina kazi na mke wangu kajifungua nimemrudisha upareni, apa sijala siku2 ....bla bla kibao , nkajua sasa anatoa CV ...nkahoji kwa iyo? ....eti kaka kama una elfu50 utakuwa umeokoa maisha yangu, ..na siasa nyingi juu, ...nkaona ananipotezea muda, nkamwambia mwambie mzee apo akupe 30 ...akashukuru mpaka basi then akaondoka.... Unajua nilifanyeje? Nilimrudishia mzee 20 na 10 nkamwambia ni gharama ya kunilengeshea Matapeli, ....akanuna!!
ALAF UKU JF UNAKUTA MTU MZIMA ANABANA PUA, KAZI FLANI YA KIKE, PUMBAFU MNATAKA KUOLEWA TU , KAZI HAMTAKI VIDUME!!!

hamna kitu kibaya kama kudharau kazi ya mtu.....na wabongo wengi sana wana hili tatizo ndio maana humu thread za kijinga kudharau watanzania wanaofanyakazi unskilled ulaya haziishi...its so sad!
 
The end justifies the means!! Hapa unampigia mbuzi gitaa , hawa woote wanaodharau kazi za watu ukivisit thread contributions zao wengi ni jobseekers ambao kwa sasa title yao wanaitwa JOBLESS, .....vijana wanapiga kazi, jobless wanawakatisha tamaa!!

Juzi ijumaa kabla ya swala, nikiwa namalizia kazi za wikend nikapita reception nikakuta kijana mmoja age kama 35 anaongea na mzee mmoja wa reception, sikusimama nkaenda ofisini. Ghafla mzee ananijia eti kuna ndugu yako anakuhitaji! Ndugu? OK mwambie aingie! Kufika tu nkamuuliza unamtafuta nani!? Ooh nimeelekezwa kule juu kuwa unapatikana APA, nkamuuliza uko juu nani kakuelekeza maana mm simjui MTU nimehamia ofisi hii si muda? Akakosa majibu , OK shida ni IPI? Ooh tuongee faragha, nkamwambia hapa ni ofisi yangu ongea, ...kaka sina kazi na mke wangu kajifungua nimemrudisha upareni, apa sijala siku2 ....bla bla kibao , nkajua sasa anatoa CV ...nkahoji kwa iyo? ....eti kaka kama una elfu50 utakuwa umeokoa maisha yangu, ..na siasa nyingi juu, ...nkaona ananipotezea muda, nkamwambia mwambie mzee apo akupe 30 ...akashukuru mpaka basi then akaondoka.... Unajua nilifanyeje? Nilimrudishia mzee 20 na 10 nkamwambia ni gharama ya kunilengeshea Matapeli, ....akanuna!!
ALAF UKU JF UNAKUTA MTU MZIMA ANABANA PUA, KAZI FLANI YA KIKE, PUMBAFU MNATAKA KUOLEWA TU , KAZI HAMTAKI VIDUME!!!
Endelea kuwa teller. simple!
 
Smart phone ukipiga picha GPS iko on mtu anaweza kulocate hiyo picha imepigwa sehenu gani hadi akafika.

Ni ushamba na ulimbukeni wakivamiwa wanaanza kulialia

Japo siafikiani na tabia hii ya kupigapiga mapicha ila mkuu kuvamia bank is a detailed plot huwezi kukurupuka tu mara zote wana insiders ili mission iwe totally qualified.
 
Kuna asiejua kama bank kuna hela,teh,teh mleta mada kajisikia vibaya tu kutumiwa mijihela
 
Ukiwa bank siri ndio msing wa kaz yako. Ukishindwa acha tafuta kazi nyingine. Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom