Hiki nacho kihoja, hv teller nayo ni Profession ya mtu kichwa kutamani kusomea?Hata hvo sidhani kama ni taaluma mana sikuwahi kuona kazi hz zkitangazwa na moja ya sifa ikawa labda anatakiwa graduate au dip holder.Wengi n form 4 au
6 leavers.
na huo ni uongo kwa sasa kazi za bank zikitangazwa teller kama anahitajika lazima qualification ya deploma in banking iwepo na degree jaribu ku google au tembelea ukurasa wa ajira hapa jf uchungulie qualifications kwa hizo nafasi