kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
Kazi ya kwenye taasisi yote ya kifedha ya hitaji usili wa hali ya juu. Hivi karibuni, kumejitokeza katabia ka ulimbukeni kakupiga picha mabulungutu ya fedha kwenye strong room yaani kwenye sehemu ya kuifadhi pesa ndani ya benki. Tabia ya namna hii ni hatari kwa usalama wa benki husika na kwa mtu anaye weka hizo picha kama profile yake. Kuna mambo yakufanyia mzaa, sio mambo ya pesa. Angalieni hizi picha hapa, nimetumiwa, nadhani ilipigwa na mfanya Kazi wa moja ya benki hapa nchini. Nitabia mbaya na naomba wajirekebishe. Sijui munasemaje wananchi wenzangu hapa JF kuhusu hii tabia. Kesho ukifwatwa na panya road, usishangae!