Wakuu ule Mwendelezo wa Wafanyabiashara Nchini kugomea Mashine za utoaji risiti EFD,Leo Unafanyika katika Mji wa Moshi.Pia wanataka Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Mwenyekiti wao Taifa ifutwe.
Tokea Asubuhi Maduka hayajafunguliwa Mpaka Muda Huu Tofauti na siku Nyingine.
Kuna Taarifa Za Mikoa Mingine nako Wafanyabiashara wamegoma.
Wafunge tu Lakin mwisho wa Mwezi nataka kodi yangu Ya frem
Ni tanzania pekee wafanya biashara wanakwepa kodi Kwa kisingizio cha EFD