MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
nilishasema hawa CCM ni janga la kitaifa. hizi mashine litakua dili la wapiga pesa pale lumumba
Mkuu bora ungekaa kimya.
Mashine hizi zinatumika dunia nzima, sio Tanzania tu.
nilishasema hawa CCM ni janga la kitaifa. hizi mashine litakua dili la wapiga pesa pale lumumba
nilishasema hawa CCM ni janga la kitaifa. hizi mashine litakua dili la wapiga pesa pale lumumba
Serikali hii imezidi ulegevu.Hawa watu wanatakiwa kutandikwa viboko na si kuwalealea kijinga.Hawana hoja ya mşingi na wamezoea kukwepo kodi huku wakituumiza walajı kwa bei kubwa za bidhaa na huduma zao.Nchi wafanyabiashara wengi wanakwepa kulipa kodi stahiki na sasa inaonekana kuzoeleka na kujiona hawapaswi.Wafanyakazi wanabanwa kodi na wananchi tunauziwa bıdhaa na huduma kwa bei kubwa ikıamınika kuwa sehemu itakuwa kodi.Hawa jamaa ni wahunı na majambazi sawa na mafisadi wa kısıasa, tusiwaunge mkono kabisa.
Mkuu bora ungekaa kimya.
Mashine hizi zinatumika dunia nzima, sio Tanzania tu.
hawa wafanyabiashara watumie hizo mashine...wafanyakazi walipokuwa wanalalamikia PAYE wao walikuwa wanaona kama wafanyakazi wanakwepa kodi...sasa watambue kuwa EFD ndo PAYE yenyewe...wasikwepe walipe kodi...serikali inaendeshwa kwa kodi, kuweni wazalendo nyie wafanyabiashara.
Serikali katika hili ijaribu kuwa serious maana hawa wafanyabiashara wakwepaji wazuri wa kodi huku wafanyakazi wanaumizwa. Kwakweli katika HILI, Tafadhali Mwigulu nyooka na hao wakwepa kodi perpendicular maana hatuwezi kujenga nchi kwa mtindo wa kijinga kukwepa kodi kiasi HILI.
Hata hapa pande za Mwenge naona Misukule imefunga maduka. Nami leo nalingia mauzo make toka nianze biashara mwaka unusu sijawahi kuuza kama hizi siku wafanyabiashara wanazogoma(ga).
Watu wengine ujinga na elimu ndogo ndo vinawatesa. We mtu una kiduka hata mtaji wa m1 hakina. Unasikia ma-papa wa biashara wamegoma eti nawe unawasindikiza kwenye migomo yao! Ujinga mzigo. Mtu huna hata hakiba ya chakula cha wiki unagoma?
Mbaya zaidi kuna wauza magenge eti nao wamegoma kisa ni ukawa... hahahahaha... sa nikabaki najiuliza kwan mgomo wa wafanyabiashara una uhusiano gani na wanasiasa... jirani yangu akanijibu eti waliokua wakihamasisha mgomo ni akina mangi ndio maana baadhi ya watu wakautafsiri kuwa na mlengo wa kisiasa. Tehteh, ujinga mzigo.
Nipo na jirani yangu hapa mwenge tunapiga mzigo kam kawa. Naomba sana miujiza itokee wagome mwezi mzima labda nami naweza kufanya jambo la maana.
Kufanya kazi Clouds inabidi utetee kila kitu cha sisiemu na kujilimbikiza vyeo kibao... Kuna wakati ulijibatiza ni mfanyakazi wa taasisi flani ya serikali humu, leo umejibatiza mfanyabiashara wa Mwenge. Hongera sana..
Kufanya kazi Clouds inabidi utetee kila kitu cha sisiemu na kujilimbikiza vyeo kibao... Kuna wakati ulijibatiza ni mfanyakazi wa taasisi flani ya serikali humu, leo umejibatiza mfanyabiashara wa Mwenge. Hongera sana..
Ushanunua machine ya EFD ama unabwabwaja tu, wewe mwenye elimu hujui wenye elimu ndio waliotufikisha hapa,
*********************************
asante kwa kunifumbua macho, nilikuwa najiuliza hili swali ni kwa nn hapa bongo fremu haishikiki....naenda pale masika frem ya kawaida tu ndogo naambiwa laki tano kwa mwezi na wanataka ya mwaka amllbayo ni 6m....nikajiuliza nn nitakachouza kwenye hiki kifremu nipate hiyo hela irudi, jumlisha kodi tra, jumlisha mtaji wa bidhaa, jumlisha gharama za uendeshaji....ikabidi niwe mdogoooo
hahaha umejuaje mimi nina elimu?? Post yangu wapi nimeandika neno elimu??
Atiiiii wachaga Moshi wamegoma mmnh ndio nasikia Leo hii
wachaga moshi wagome KUFANYA BIASHARA? Wakigoma najiondoa jamii forums naapa.Migomo ya kufunga biashara ni kwa ajili ya vikabila visivyojitambua vya mikoa mingine visivyojua maana ya biashara ni nini.Moshi wagome chezea wachaga wewe huwajui.
Ulishawahi sikia hata maandamano ya fujo moshi? Hawataki kuharibu biashara maandamano yote ya fujo ni kwa makabila mengine.Mwanza kwa wasukuma,dar kwa wazaramo,Arusha kwa wamasai na wameru,KIGOMA kwa waha,mbeya kwa wanyakyusa,Iringa kwa wahehe n.k sio moshi.
Hujui Kitu wewe,nenda kenya hapo,ama Uganda wale wanaotumia machine hizo ni wale wenye mitaji mikubwa mikubwa tu,wanoingiza bidhaa toka nje,viwanda ,makampuni,nk.hapa kwetu wanataka hata Yule anayenunua mizigo humu humu nchini,awe na machine,wenye mitaji ya milioni 5,6,mpaka 7 wawe na machine.Nimbie ni ofisi ipi ya serikali ulienda kulipia chochote ukapewa listi ya machine.amka wewe