auxiliomkina
Member
- Feb 28, 2015
- 60
- 6
Mwenyewe nshafungua duka tehetehetehe kaaazi kweli kweli
mimi nashauri serikali wamfunge huyu jamaa tuone kama watafunga biashara kila siku.
Wafanyabiashara Wapo sahihi sana ,sio wakwepa kodi ni walipa kodi wazuri tu na ndio maana unaona Serikali ipo.Swali dogo kwako ni hili "kodi ya Serikali inatozwa katika mauzo au faida?.
Nimekuuliza swali hili kwa sababu inawezekana kabisa haujielewi na umejiandikia tu kwa utashi wako
Serikali hii imezidi ulegevu.Hawa watu wanatakiwa kutandikwa viboko na si kuwalealea kijinga.Hawana hoja ya mşingi na wamezoea kukwepo kodi huku wakituumiza walajı kwa bei kubwa za bidhaa na huduma zao.Nchi wafanyabiashara wengi wanakwepa kulipa kodi stahiki na sasa inaonekana kuzoeleka na kujiona hawapaswi.Wafanyakazi wanabanwa kodi na wananchi tunauziwa bıdhaa na huduma kwa bei kubwa ikıamınika kuwa sehemu itakuwa kodi.Hawa jamaa ni wahunı na majambazi sawa na mafisadi wa kısıasa, tusiwaunge mkono kabisa.
Ujinga mtupu,na wagome tu watakula jeuri yao.wangegoma wa sokoni sawa,lakini hao wa maduka? Tena wagome mwezi mzima.
Wakuu ule Mwendelezo wa Wafanyabiashara Nchini kugomea Mashine za utoaji risiti EFD,Leo Unafanyika katika Mji wa Moshi.Pia wanataka Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Mwenyekiti wao Taifa ifutwe.
Tokea Asubuhi Maduka hayajafunguliwa Mpaka Muda Huu Tofauti na siku Nyingine.
Kuna Taarifa Za Mikoa Mingine nako Wafanyabiashara wamegoma.
Hawa ni wahujumu Uchumi.. Inasadikika wanapewa nguvu na Ukawa.
Mkuu haturumbani.Kodi nı za aina nyıngi lakıni tuzingatie hizi 2 ;VAT na kodi ya mapato.VAT ınatozwa kwa % kulingana na mauzo yaliyofanyika.Kodi ya mapato inatozwa kwenye faida kama vitabu vya mahesabu vpo.Nııshıe hapo kwanza.Kwenye VAT mfanya aliyesajaliwa kwa VAT ni kama wakala lakn mara nyingi sana wanafanya ujanja na hawaoneshı mauzo halisı aliyofanya na kwa hli wanatuibıa sısı walajı ambao kımsıngı ndıo tunaolipia hyo VAT.Na kuhusu kodı ya mapato,bila na takwımu halısı za mauzo na gharama za uendeshajı kadhali mtaji uliowekeza,faıda ınayotakıwa kukatwa kodi haıtajulıkana na hıı ınawafanya wakadirıwe kwa kuwahonga maafisa wa kodı ılı wawakadrıe kodı ndogo.EFD ıtasaıdia kwa kıas flanı.
Wakuu ule Mwendelezo wa Wafanyabiashara Nchini kugomea Mashine za utoaji risiti EFD,Leo Unafanyika katika Mji wa Moshi.Pia wanataka Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Mwenyekiti wao Taifa ifutwe.
Tokea Asubuhi Maduka hayajafunguliwa Mpaka Muda Huu Tofauti na siku Nyingine.
Kuna Taarifa Za Mikoa Mingine nako Wafanyabiashara wamegoma.
Wafanyabiashara hawagomei mashine za EFD tu bali hata kiwango cha kodi mtu alicholipa mwaka jana kimeongezwa kwa asilimia 100.
Hakuna anayejua kigezo kilichotumika kupandisha kodi kiasi hicho!
Mkuu hapo umenena Hakuna biashara inayo kua marambili kwa mwaka wanatumia vigezo gani kufanya mambo hayo
Pia analiona hili suala la EFD kama la wafanyabiashara lakini hajui kuwa yeye pia anaumia!kwa sababu kichwan ni box huelewi endelea kuongea tu. kwa taarifa tu maduka yakifungwa cku moja serikali inapata hasara ya billion Mia Tatu kwa mujibu wa wazir wako wa fedha ndugu malima
Serikali hii imezidi ulegevu.Hawa watu wanatakiwa kutandikwa viboko na si kuwalealea kijinga.Hawana hoja ya mşingi na wamezoea kukwepo kodi huku wakituumiza walajı kwa bei kubwa za bidhaa na huduma zao.Nchi wafanyabiashara wengi wanakwepa kulipa kodi stahiki na sasa inaonekana kuzoeleka na kujiona hawapaswi.Wafanyakazi wanabanwa kodi na wananchi tunauziwa bıdhaa na huduma kwa bei kubwa ikıamınika kuwa sehemu itakuwa kodi.Hawa jamaa ni wahunı na majambazi sawa na mafisadi wa kısıasa, tusiwaunge mkono kabisa.
Jitoe basi tuone acha kukurupuka Moshi hakuna duka lililofunguliwa hata moja.wachaga moshi wagome KUFANYA BIASHARA? Wakigoma najiondoa jamii forums naapa.Migomo ya kufunga biashara ni kwa ajili ya vikabila visivyojitambua vya mikoa mingine visivyojua maana ya biashara ni nini.Moshi wagome chezea wachaga wewe huwajui.
Ulishawahi sikia hata maandamano ya fujo moshi? Hawataki kuharibu biashara maandamano yote ya fujo ni kwa makabila mengine.Mwanza kwa wasukuma,dar kwa wazaramo,Arusha kwa wamasai na wameru,KIGOMA kwa waha,mbeya kwa wanyakyusa,Iringa kwa wahehe n.k sio moshi.
Jitoe basi tuone acha kukurupuka Moshi hakuna duka lililofunguliwa hata moja.
Ndiyo shida ya watu kukaa maofisini na kufanya maamuzi bila kuelewa hali halisi!
hatupaswi kutumia nguvu kuwalazimisha. Mimi nashangaa kwanini mpaka sasa serikali haijatafuta suruhu ya suala hili. Watagoma hadi lini? Hiv kwanini serikali isitoe majibu ya kueleweka? Ukwepaji wa kodi upo hadi kwa wale wanaotumia EFD. Kwanini serikali isitumie mashine hizi kwenye mashirika yake? Mfano, NEMC, ERB, CRB na wengine wanapokea pesa nyingi lakini wanatumia vitabu vya risiti badala ya EFD. Kuna sehemu au kitu fulani serikali haitaki kukiweka sawa. Hata traffic barabarani wanapaswa kutumia EFD sio machinga tu!