Hayo hayo unayojiuliza ndiyo yanayosababisha watu wanagoma ,wafanyabiashara wanatofautiana kuna Mzee Azam,Mengi,na wengine wakubwa wakubwa,hao machine kwao si issue.sasa mtu Ana mtaji wa sh milioni Sita unamwambia anunue machine,wapi na wapi.
Wakuu ule Mwendelezo wa Wafanyabiashara Nchini kugomea Mashine za utoaji risiti EFD,Leo Unafanyika katika Mji wa Moshi.Pia wanataka Kesi iliyofunguliwa dhidi ya Mwenyekiti wao Taifa ifutwe.
Tokea Asubuhi Maduka hayajafunguliwa Mpaka Muda Huu Tofauti na siku Nyingine.
Kuna Taarifa Za Mikoa Mingine nako Wafanyabiashara wamegoma.
Samahani nilitaka kumjibu mwingine aliyesema wafanyabiashara elimu ndio inawasumbua ,wakati wenye elimu kibao wameajiriwa na wasio na elimu.samahani tena mkuu
Faida inayopatikana kwenye mashirıka ya umma ni kwa manufaa ya serikali hyohyo tofauti na mtu binafsi.