Wafanyabiashara Arusha wafunga maduka kwa muda usiojulikana

Wafungue tu biashara zao maana huo ni utekelezaji wa baraza la madiwani, Jiji. Ukifunga biashara yako utapata hasara mwenyewe na kodi lazima ulipe, Watu wamelelewa vibaya mpaka wanaingiza siasa kwenye mambo ya msingi.
 
Kazi ya serekali sio kufukuza machinga barabarani kunauzembe umesababisha machinga kujaa barabarani ukiwafukuza unata wafe njaa,Serekali ni watu pia bila watu uwezipata Serikali
Kumbuka kuwa machinga wanajua wametenda kosa kwani hakuna anayetuhusiwa kufanya biashara pembeni ya barabara, walijua kosa ni lao ndio maana baada ya hasira kuisha wakaondoka bila ya ubishi.

Hukohuko walipo wamejijengea mazingira ya kupata mikopo na misaada mingine ya kibiashara, ile ilikuwa ni vurugu mechi sio ufanyaji wa biashara.

Kumbuka kuwa hayati JPM alikuwa ni populist leader huwa haangalii mambo madogo yanayotokana na maamuzi makubwa anayoyaamua. Anatafuta sifa za jumla jumla, mileage za jumla jumla.
 
Baada ya wafanyabiashara na Chadema kushangilia mateso ya kufungiwa biashara kwa wamachinga hatimae zamu yao imefika, kuanzia leo kodi ya maduka kwenye jiji la Arusha imepandishwa kwa 100% na kupelekea wenye maduka kugoma kwa muda usiojulikana.

Wafanyabiashara wafunga maduka kisa kupandishiwa kodi.
===

Wafanyabiashara zaidi ya 100 wa maduka katikati ya Jiji la Arusha wamefunga maduka yao bila kikomo wakipinga kupandishiwa mara dufu kodi na halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka Sh150,000 hadi Sh300,000 kinyume na utaratibu.

Aidha wamemwomba Rais Samia Suluhu na Waziri Ummy Mwalimu kuingilia kati ili kuondoa unyanyasaji huo unaosababisha washindwe kufanya biashara zao kwa uhuru.

Wakiongea na waandishi wa habari leo Desemba 10, wafanyabiashara hao katika eneo la Ranger Safari, wamedai kuwa kitendo cha halmashauri hiyo kupandisha kodi ya pango kinyemela hakikuwa na makubaliano bali halmashauri hiyo imetumia ubabe wakati mwafaka ulikuwa bado.

Baadhi ya wafanyabiashara hao Godluck Alick na Amani Mollel wamedai kuwa usiku wa siku ya kusherehekea miaka 60 ya uhuru wa Tanzania ,baadhi ya maofisa wa jiji wakiwa na mgambo kadhaa walivamia katika maduka hayo na kuwakamata viongozi wa wafanyabiashara hao na kuwapelekea polisi wakidai wanashinikiza wafanyabiashara wasilipe Kodi.

"Hili suala lilishazungumziwa na mkuu wa wilaya aliyepita Mbele ya mkurugenzi wa jiji na kufikia mwafaka kwamba wafanyabiashara hao waendeleee kulipa kodi ya zamani ya shilingi laki moja na nusu ,lakini tumeshangaa hapo jana jambo hili limeibuka upya"alisema Mollel.

Naye mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara hao,Loken Masawe na Katibu wake,Hamidur Jamari wamemwomba Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kukaa na Wafanyabiashara hao ili kuondoa sintofahamu inayojitokez kwa kuwa msuguano huo umekuwa wa muda mrefu unaosababisha adha kwa wananchi.

"Hawa wafanyabiashara ndio waliojenga haya maduka wanamchagia wao ni mkubwa kwa Serikali. Huyu mkurugenzi akutane na wafanyabiashara na awaheshimu kwa mchango wao kitendo cha kuwatumia mgambo siku ya uhuru na kuwakamata viongozi wao awaombe radhi sio cha uungwana"alisema Masawe.

Aidha mwenyekiti huyo amedai kuwa wafanyabiashara hao hawatafungua maduka yao katika muda usiojulikana ili kushinikiza halmashauri hiyo kukaa kitako ili kufikia mwafaka.

Katika hatua nyingine wafanyabiashara waliopanga katika maduka mapya ya halmashauri hiyo yaliyopo eneo la Disemba nao wamegoma kufungua wakidai kiwango cha kodi wanachoyozwa na halmashauri hiyo ni kikubwa.

Mmoja ya wapangaji wa maduka hayo, Modester Kapinga alidai kuwa kodi wanayolipa kwa sasa ni kati ya ya Sh,300,000 na Sh600,000, ambayo haiwapi faida na kwamba maduka hayo ni madogo sana.

Akijibu hoja za wafanyabiashara hao mstahiki meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranghe alisema uamuzi wa kupandisha Kodi ni uamuzi uliotolewa na baraza la madiwani baada ya kujiridhisha kuwa wafanyabiashara hao wanalipwa kiasi kidogo cha kodi.

"Haya maamuzi yametolewa na baraza la madiwani halmashauri ni watekelezaji tu, hao wafanyabiashara wanalipa kodi ndogo sana"alisema Meya.

Awali mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Dkt John Pima alidai kuwa suala hilo litazungumziwa na Meya wa Jiji la Arusha kwa sababu maamuzi ya kupandisha kodi yalifikiwa na baraza lake la madiwani.

MWANANCHI

Kwa pale ranger Yale maduka mapya 300,000 Ni Haki kabisa! Waache Kama yatakosa watu
 
Lazima wagome. Haiwezekani kodi ipande kinyemela hivyo.
Sio kodi kupanda kinyemela, hiyo 150,000/= inawatosha, zaidi ya nini? Watu maofisini wanafikiria namna ya kupata fedha kwa wakulima, wafanyabiashara na hata wananchi, huku wakiweka mifumo ya kuzitumbua kwa posho, marupurupu, misafara n.k! Hawajui biashara ni struggle kupanda na kushuka!
 
Kwani wamelazimishwa kulipa kodi? Halmashauri ya jiji ni mwenye nyumba kwa maana ya kwamba yeye ndiye anayechukua kodi anayoona kwamba itamlipa am kumrudishia gharama za uwekezaji aliouweka katika kuyajenga maduka hayo na kupande mwingine wafanyabiadhara ni mpangaji ambaye anapaswa kumlipa mwenye nyumba kodi yake ili na yeye awe huru kuifanya biashara yake

sasa hapa kufunga ama kugoma kugungua biashara ili umlazimishe mwenye nyumba akukubalie ulipe kodi unayotaka wewe siyo sawa cha msingi ni kwwmba ikiwa mwenye nyumba ama chumba unachofanyia biashara amekutoza kodi ya pango kubwa na ikawa wewe inakushinda kwa sababu unazoona kwamba haitakulipa basi unapaswa kuiacha nyumba hake ili wewe ukapange kwa mwenye nyumba mwingine na ambaye kodi yake itakuwa na ahueni na hapo mwenye nyumba naye amtafute mpangaji mwingine ambaye atakubaliana na kodi yake ama ikimshinda nyumba yake kumpata mpangaji mwenye kumlipa kodi anayoitaka basi pengine anaweza kuwa na hiyari ya kushusha kodi ama vinginevyo bila yankulazimishwa na mpangaji

Hapa hawa wapangaji wanadeka na kuigomea serikali kwa sababu ni serikali kwa sababu kwa watu binafsi huwa wanalipa kodi ama wanaacha pango wazi ili mwenye nyumba atafute wmpangaji hivyo na huku kwenye halmashauri ifanyike hivyo hivyo maana hii ni biashara kama biashara nyingine yeyote.
Tena Mkuu Kwa kuongezea, Wala Hamna kodi iliyopanda, Kuna jumuiya inaitwa JWT pamoja na madalali ndo Wanaendesha huo mgomo Kwa maslahi yao.
Kodi ilkua inalipwa 150,000 jiji na 150,000 Kwa dalali. Hawa madalali MIKATABA yao ilishaisha. Jiji linataka hiyo fedha yote walipwe wao Kwa maana jiji ndo wamiliki halisi wa hivyo vibanda.
 
Acha kukurupuka kujibu kitu usichokijua au kukielewa. Hapa mlalamikaji au mpangaji alishiriki kujenga fremu katika kiwanja cha manispaa ya jiji la Arusha kwa makubaliano maalum.

Kitendo cha kupandishiwa kodi ya jengo ghafla bila kushirikishwa ni kinyume na makubaliano yao waliyoyaweka na ndicho kinacholalamikiwa.

Hawawezi kuhama kirahisi katika fremu walizoshiriki kuzijenga kama unavyofikiri wewe. Halafu uache kufananisha nyumba za kupanga za uraiani na suala nyeti kama hili.
Acha kupotosha uma. Tuwe wazalendo Kwa nchi yetu. Mimi nilijenga kibanda hapo stendi ndogo. Katika mkataba wa ujenzi, tulikubaliana tufanye biashara/tukae bure bila kulipa chochote Kwa muda wa miaka kumi. Baada ya miaka kumi vibanda rasmi vilirudi manispaa ( Sasa Jiji) tukaanza kulipia Kodi. Naa tulikua tunaingia mkataba wa mwaka mwaka. Bàadae wengi WETU sisi wajenzi OG waliuza vibanda na wengine walipangisha.

Kuna mtu anaitwa Moris Makoy hapo stendi ndogo, huyu alipewa zabuni ya kukusanya Kodi za pango na kuwakilisha Jiji. Huyu Sasa ndo alisababisha vibanda kupanda Bei Mara dufu. Akawa anafungiwa watu vibanda na akawa kama vile anavimiliki hivyo vibanda. Hapa Sasa ndo alijivunia vibanda vyaa kutosha na akaanza kuvioaangishabkwa Bei ya juu. Wengine nao wakamwiga na waakapandisha Bei. Bàadae Kodi ilianza kupelekea Jiji na Sio kwake Tena. Pale Sasa ndo wakawa wanakusanya Kodi Kwa wapangaji na na lazma mpangaji alipe Kodi ya mwaka mzima na wanazitumia na hawazipeleki jiji. Ndo mwanzo wa hiyo migogoro unayoskia.

Wajenzi wa Sasa asilimia 98 walivinunua hivyo vibanda, hivyo hawaufahamu hata mkataba wa mwanzo ulkua na vipengele gani. LAKINI serkali inapoteza mapato makubwa sana Kwa kuachia hiki kikundi KIDOGO Cha watu kuhodhi hayo maeneo naa kuikwamisha serkali na kusumbua wafanyabiashara
 
Unalipwa shs ngapi kutetea ujinga?
Silipwi hata shilingi 100. Mimi ni mjenzi halisi na nakerwa Sana na tabia ya Hawa wanunuzi madalali kisababisha migogoro kilaa uchwao. Mimi nafanya biashara Kwenye kibanda nilichojenga, na nafahamu hiki kibanda ni Mali ya halmashauri, na tutasaini mkataba. Nafahamu kwamba siruhusiwi kupangisha, nikishindwa nitakirudsha Jiji.
Hii migogoro inayosimamiwa na Lokeni siafiki kabisa. Na hii michango ya mabango kila mara Shokia anakusanya kwa kweli imetuchosha. Tutaishi hivi Hadi lini, jamani tumevuna vya kutosha. Tusisumbue serkali
 
Baada ya wafanyabiashara na Chadema kushangilia mateso ya kufungiwa biashara kwa wamachinga hatimae zamu yao imefika, kuanzia leo kodi ya maduka kwenye jiji la Arusha imepandishwa kwa 100% na kupelekea wenye maduka kugoma kwa muda usiojulikana.

Wafanyabiashara wafunga maduka kisa kupandishiwa kodi.
===

Wafanyabiashara zaidi ya 100 wa maduka katikati ya Jiji la Arusha wamefunga maduka yao bila kikomo wakipinga kupandishiwa mara dufu kodi na halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka Sh150,000 hadi Sh300,000 kinyume na utaratibu.

Aidha wamemwomba Rais Samia Suluhu na Waziri Ummy Mwalimu kuingilia kati ili kuondoa unyanyasaji huo unaosababisha washindwe kufanya biashara zao kwa uhuru.

Wakiongea na waandishi wa habari leo Desemba 10, wafanyabiashara hao katika eneo la Ranger Safari, wamedai kuwa kitendo cha halmashauri hiyo kupandisha kodi ya pango kinyemela hakikuwa na makubaliano bali halmashauri hiyo imetumia ubabe wakati mwafaka ulikuwa bado.

Baadhi ya wafanyabiashara hao Godluck Alick na Amani Mollel wamedai kuwa usiku wa siku ya kusherehekea miaka 60 ya uhuru wa Tanzania ,baadhi ya maofisa wa jiji wakiwa na mgambo kadhaa walivamia katika maduka hayo na kuwakamata viongozi wa wafanyabiashara hao na kuwapelekea polisi wakidai wanashinikiza wafanyabiashara wasilipe Kodi.

"Hili suala lilishazungumziwa na mkuu wa wilaya aliyepita Mbele ya mkurugenzi wa jiji na kufikia mwafaka kwamba wafanyabiashara hao waendeleee kulipa kodi ya zamani ya shilingi laki moja na nusu ,lakini tumeshangaa hapo jana jambo hili limeibuka upya"alisema Mollel.

Naye mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara hao,Loken Masawe na Katibu wake,Hamidur Jamari wamemwomba Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kukaa na Wafanyabiashara hao ili kuondoa sintofahamu inayojitokez kwa kuwa msuguano huo umekuwa wa muda mrefu unaosababisha adha kwa wananchi.

"Hawa wafanyabiashara ndio waliojenga haya maduka wanamchagia wao ni mkubwa kwa Serikali. Huyu mkurugenzi akutane na wafanyabiashara na awaheshimu kwa mchango wao kitendo cha kuwatumia mgambo siku ya uhuru na kuwakamata viongozi wao awaombe radhi sio cha uungwana"alisema Masawe.

Aidha mwenyekiti huyo amedai kuwa wafanyabiashara hao hawatafungua maduka yao katika muda usiojulikana ili kushinikiza halmashauri hiyo kukaa kitako ili kufikia mwafaka.

Katika hatua nyingine wafanyabiashara waliopanga katika maduka mapya ya halmashauri hiyo yaliyopo eneo la Disemba nao wamegoma kufungua wakidai kiwango cha kodi wanachoyozwa na halmashauri hiyo ni kikubwa.

Mmoja ya wapangaji wa maduka hayo, Modester Kapinga alidai kuwa kodi wanayolipa kwa sasa ni kati ya ya Sh,300,000 na Sh600,000, ambayo haiwapi faida na kwamba maduka hayo ni madogo sana.

Akijibu hoja za wafanyabiashara hao mstahiki meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranghe alisema uamuzi wa kupandisha Kodi ni uamuzi uliotolewa na baraza la madiwani baada ya kujiridhisha kuwa wafanyabiashara hao wanalipwa kiasi kidogo cha kodi.

"Haya maamuzi yametolewa na baraza la madiwani halmashauri ni watekelezaji tu, hao wafanyabiashara wanalipa kodi ndogo sana"alisema Meya.

Awali mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Dkt John Pima alidai kuwa suala hilo litazungumziwa na Meya wa Jiji la Arusha kwa sababu maamuzi ya kupandisha kodi yalifikiwa na baraza lake la madiwani.

MWANANCHI
Wizi na ujambazi wa serikali unatamalaki
 
Baada ya wafanyabiashara na Chadema kushangilia mateso ya kufungiwa biashara kwa wamachinga hatimae zamu yao imefika, kuanzia leo kodi ya maduka kwenye jiji la Arusha imepandishwa kwa 100% na kupelekea wenye maduka kugoma kwa muda usiojulikana.

Wafanyabiashara wafunga maduka kisa kupandishiwa kodi.
===

Wafanyabiashara zaidi ya 100 wa maduka katikati ya Jiji la Arusha wamefunga maduka yao bila kikomo wakipinga kupandishiwa mara dufu kodi na halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka Sh150,000 hadi Sh300,000 kinyume na utaratibu.

Aidha wamemwomba Rais Samia Suluhu na Waziri Ummy Mwalimu kuingilia kati ili kuondoa unyanyasaji huo unaosababisha washindwe kufanya biashara zao kwa uhuru.

Wakiongea na waandishi wa habari leo Desemba 10, wafanyabiashara hao katika eneo la Ranger Safari, wamedai kuwa kitendo cha halmashauri hiyo kupandisha kodi ya pango kinyemela hakikuwa na makubaliano bali halmashauri hiyo imetumia ubabe wakati mwafaka ulikuwa bado.

Baadhi ya wafanyabiashara hao Godluck Alick na Amani Mollel wamedai kuwa usiku wa siku ya kusherehekea miaka 60 ya uhuru wa Tanzania ,baadhi ya maofisa wa jiji wakiwa na mgambo kadhaa walivamia katika maduka hayo na kuwakamata viongozi wa wafanyabiashara hao na kuwapelekea polisi wakidai wanashinikiza wafanyabiashara wasilipe Kodi.

"Hili suala lilishazungumziwa na mkuu wa wilaya aliyepita Mbele ya mkurugenzi wa jiji na kufikia mwafaka kwamba wafanyabiashara hao waendeleee kulipa kodi ya zamani ya shilingi laki moja na nusu ,lakini tumeshangaa hapo jana jambo hili limeibuka upya"alisema Mollel.

Naye mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara hao,Loken Masawe na Katibu wake,Hamidur Jamari wamemwomba Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kukaa na Wafanyabiashara hao ili kuondoa sintofahamu inayojitokez kwa kuwa msuguano huo umekuwa wa muda mrefu unaosababisha adha kwa wananchi.

"Hawa wafanyabiashara ndio waliojenga haya maduka wanamchagia wao ni mkubwa kwa Serikali. Huyu mkurugenzi akutane na wafanyabiashara na awaheshimu kwa mchango wao kitendo cha kuwatumia mgambo siku ya uhuru na kuwakamata viongozi wao awaombe radhi sio cha uungwana"alisema Masawe.

Aidha mwenyekiti huyo amedai kuwa wafanyabiashara hao hawatafungua maduka yao katika muda usiojulikana ili kushinikiza halmashauri hiyo kukaa kitako ili kufikia mwafaka.

Katika hatua nyingine wafanyabiashara waliopanga katika maduka mapya ya halmashauri hiyo yaliyopo eneo la Disemba nao wamegoma kufungua wakidai kiwango cha kodi wanachoyozwa na halmashauri hiyo ni kikubwa.

Mmoja ya wapangaji wa maduka hayo, Modester Kapinga alidai kuwa kodi wanayolipa kwa sasa ni kati ya ya Sh,300,000 na Sh600,000, ambayo haiwapi faida na kwamba maduka hayo ni madogo sana.

Akijibu hoja za wafanyabiashara hao mstahiki meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranghe alisema uamuzi wa kupandisha Kodi ni uamuzi uliotolewa na baraza la madiwani baada ya kujiridhisha kuwa wafanyabiashara hao wanalipwa kiasi kidogo cha kodi.

"Haya maamuzi yametolewa na baraza la madiwani halmashauri ni watekelezaji tu, hao wafanyabiashara wanalipa kodi ndogo sana"alisema Meya.

Awali mkurugenzi wa Jiji la Arusha,Dkt John Pima alidai kuwa suala hilo litazungumziwa na Meya wa Jiji la Arusha kwa sababu maamuzi ya kupandisha kodi yalifikiwa na baraza lake la madiwani.

MWANANCHI
Watafunguwa acha njaa iwapige kwanza. Kodi gani imepandushwa!? Hawa ndiyo wakwepa Kodi waliokuwa wamewajili wamachinga. Sasa kimeumana wameanza kulia
 
Back
Top Bottom