Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,621
- 1,583
Kazi ya serekali sio kufukuza machinga barabarani kunauzembe umesababisha machinga kujaa barabarani ukiwafukuza unataka wafe njaa,Serekali ni watu pia bila watu uwezipata SerikaliNi kujiaminisha tu. Serikali ikiwa na dhati kabisa harudi mtu hata mmoja.