Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

Wafahamu watu wanaoitwa Sociopath

Mkuu umesema kuwa. hawa watu wana siku maalumu ya kuua dunia! swali ni kwamba hio siku wanaua kwa mara moja? au kila mmoja anasiku yake ya kuua( kutoa sadaka) ?
 
Kuna Dada mmoja pia hapa kazini nahisi na yeye ana tabia hizo :
1. Yeye kila kukicha huwachongea wenzake kwa Boss ili waonekane wabaya, si kitu, sio chochote.
2. Cha kushangaza zaidi Boss huyabeba yale maneno kama yalivyo na kuwafukuza kazi baadhi yetu.
3. Mtu akifukuzwa kazi huyu Dada anafurahia sana tena sana sana na roho yake inaridhika kabisa.
na nyie fanyeni mpango mumtoe hapo naye aje kusoma namba huku uswazi ,dawa ya moto ni moto tu.
 
Mkuu umesema kuwa. hawa watu wana siku maalumu ya kuua dunia! swali ni kwamba hio siku wanaua kwa mara moja? au kila mmoja anasiku yake ya kuua( kutoa sadaka) ?
Ndio mkuu wana siku maalumu kwa wale wanaojuana au members hata wewe kama ni miongoni mwao unaweza join ila watakuspy kwanza
 
kwa matendo yao hao jamaa haswa wale mossad na Kidon wale ni sociapath kabisa yani unamtuma kuua wala haulizi kwanini anaenda kuua yani ni kuua tu
Je sociapath anaweza kutengenezwa?
Mfn wanajeshi hawana hasira ila anaeza kakufanyia chochote atakacho bila kufikiria mara2 na asijutie je huyu tunamuweka kundi gani?
je mtu akiwa anafanya for the survival huyu mae ni sociapath?
 
Je sociapath anaweza kutengenezwa?
Mfn wanajeshi hawana hasira ila anaeza kakufanyia chochote atakacho bila kufikiria mara2 na asijutie je huyu tunamuweka kundi gani?
je mtu akiwa anafanya for the survival huyu mae ni sociapath?
Majibu ni haya kumtengeneza inawezekana ndio maana kuna hao watu maalumu kwa kazi hiyo wanapikwa kwanza hata jeshini ndio hao unasikià makomando. Survival huyu nae kama anafanya kwa ubora mambo yake nae anaingia kundi hilo kama zile hisia nilizotaja hapo juu hana hata moja au alipikwa na hizo hisia zikapotea kabisa
 
Shukran ndugu yangu binadamu wana mambo huwa kuna waqt natamani iwe ndoto but ndio ukweli still kuna vitu huwa anahitaji nimsaidie kifikra bado nafanya kwa moyo safi kabisa ila kuna vitu nimekaa pembeni nae.
Kuna njia za kumsaidia atoke kwenye hiyo hali ila inachukua muda sana nadhani nikikamilisha utafiti nitakuja na dawa
 
Mi ni mmoja wapo alafu pia nina kipaji cha kuambukiza au kufundisha iyo tabia kwa yule ambaye atataka kuwa km mimi.

Sina wivu katika mapenz hadi najiuliza ntakuja kuoa kwa vigezo gani.

Sina hisia za kupenda... kupendwa wala kutendwa...

Msiba kwangu ni kitu cha kawaida saana hata akifa mtu wa karibu.


Ila nachukia saana kuuua kiumbe... ingawaje napenda kufanya chochote cha ajabu kwa manufaa ya mwingine.

Nina uwezo wa kuchukia chuki kubwa pasipo hata sababu za msingi...



Nilifika kipindi nikaenda kwa watu wa anatomy... sycholog.. psyciology for consultant....

Nikaonekana naahitaji vitu vingii kubadirika.... nikashindwa kulingana na time table ya kutafuta pesa.
 
Kuna njia za kumsaidia atoke kwenye hiyo hali ila inachukua muda sana nadhani nikikamilisha utafiti nitakuja na dawa
Kwa huyu jamaa ni kazi kweli kwanza kinadharia unamuona mwenzio ila ni mtu ambae hapendi weye upate atakupa mia moja waqt halali yako ni elfu moja roho yake ya kwanini kuna kipindi hata mtu mwingine akikupa weye huku yeye roho yake inauma kwanini umepewa weye sasa hapo pana mtu kweli?
 
Kwa huyu jamaa ni kazi kweli kwanza kinadharia unamuona mwenzio ila ni mtu ambae hapendi weye upate atakupa mia moja waqt halali yako ni elfu moja roho yake ya kwanini kuna kipindi hata mtu mwingine akikupa weye huku yeye roho yake inauma kwanini umepewa weye sasa hapo pana mtu kweli?
Hii dunia ina mengi sana Mkuu ngoja twende tu
 
Back
Top Bottom