dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,829
- 3,733
kabisaMbona hayo maelezo yanamlenga Mange Kimambi wetu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
kabisaMbona hayo maelezo yanamlenga Mange Kimambi wetu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Asante Mkuu Tofauti kuu ya hawa sadist na Sociapath ni mbili tu au zaidi moja ni kwamba sadist anaweza akapatwa na hali ya uoga akashindwa fanya jambo husika ila Sociapath hana uoga na hajawahi kuwa muoga kutekeleza shauri lake ila nadhani nitaelezea makala ijayo kwa undani hilo swala la sadist MkuuMkuu nipe ka elimu kidogo tofauti kati ya hao sociopath na ma sadist natanguliza shukrani
Wapo mkuu na nitakupa excluesive nyingine juu hawa watu na wanavyoishiAngalia utaitwa mchochezi
Btw kweli watu wa hivyo wapo ila sikujua kuwa wanaitwa hivyo
Mtu anamtongoza binti then anakula papuchi akimaliza anamuua
Wapo wengi sana na ukijaribu kumfatilia kujua stuation yake ana kuua au kukutesa au kukufanyia chochote kibaya ili yeye afurahie hiyo haliKuna kakiongozi hapa bongo kanahiyo unanii
Hatari sana hahahahahaiyo iyo yaaaan yule ni iyo kitu mkuu
Yeah kwa sababu hawana huruma na kitu chako au hali yako na zaidi ya hapoMatapeli wengi wakubwa pia Ni sociopath
Uongo unaozungumziwa ni wa level za juu sana sio ule wa Nakupenda kumbe unatamaniHee... Mmh... usikute na mm n mmoja wao.. baadhi ya mambo ninayo hapo... sema kuhusu uongo sina hiyo p
Hata fulani pia ni sociopath mana nadhani huruma hanaHahaha inawezekana akawa Sociapath
Huyo dada yako ni mwalimu? isije akawa tunamzunguzia mtu mmoja!Mimi pia nina ndugu yangu wa damu wa kike ni type hizo yani uwezi zania kabisa ukimuona na hadi nimeandika hii kitu naijua kabisa nitaendelea kudadavua kiundani ila wapo wengi duniani na wao hufaamiana na wanasiku yao maalumu ya kuua
Zipo nyingi sana mkuu Na huwa ni mbaya zaidi ya hii ya kuzaliwa nayo mfano mtu anaenda jeshini akitoka huko sio yule tena aliekuwa kabla hajaenda jeshini hata mapenzi pia hutoa product hii mkuu unashangaa tu mtu kaua au kafanya chochote na ana fill good kwa upande wakekwa jinsi nilivyokuelewa mimi mleta mada ni kwamba hawa sociopath wanazaliwa hivyo ila je hamna sababu zinazoweza mpelekea mtu wa kawaida kuwa sociopath?