The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 774
- Thread starter
- #41
Pole sanaYupo swahiba wangu mmoja anakidhi vigezo vyote vya kupewa jina hilo mwanzoni sikujua na nikawa najitoa sana kwake nikiamini tunafanya kwa ajili yetu na ustawi wa familia zetu kumbe bwana yule hafai kabisa pana siku hakujua kama nipo akawa anaongea na jamaa katika simu si kuniua huko si kuniponda huko baadae akaja kujua kuwa nilikuwapo aliingiwa na ubaridi sana.