Hadithi za cheichei shangazi daaah zamani sana mkuuUlipotaja RTD, umeinikumbusha hadithi za shangazi Halima Kiemba, na Eda Sanga... hadithi ya ua jekundu
aisee ni shiiiiida mkuuNa kama hukufiak feri na ukapiga picha, unaonekana muongo
yeah ni kweli alafu walikua hawaivi, mshua alikua amzarau sana dogoBaba yake Enrique alikua anaitwa Julio Eglisias huyo ni mbaya hatari hana nyimbo mbaya!
Sawa bro.Hapo nimechomekea tu kumbukumbu za zamani zimenijia baada ya kuona uzi wako,
Kumbe kibinti kibichi hikiWoiii kumbe ndiyo mlikuwa washamba hivyo
PwahahahaSisi wa mikoani!Kama ulikuja Dar na haukupiga picha Daraja la Manzese Basi hata utembee uchi huwezi kuaminiwa.
absolutelyWa miaka hii wangekua wanachomoa picha na kuzipost Kwa Social Media, unajiuriza nani kaiba picha langu? Na wangefanyia kwa Photoshop ushangae
Yes ndio inavyokuwaga mkuuSijui ndo ile sifa ya mwanao kusoma mkoani
Hahahaaaaa...Wale wa kijijini tulikua tunasubiri hadi mpiga picha ajaze mkanda ndo aende mjini kusafisha.
Kwa hiyo kale kachuma ka manzese kalikuwa big deal sana enzi hizo...😀😀😀😀Sisi wa mikoani!Kama ulikuja Dar na haukupiga picha Daraja la Manzese Basi hata utembee uchi huwezi kuaminiwa.
Uje tena shangazi, uje tena shangazi shangazi eee shangazi...Hadithi za cheichei shangazi daaah zamani sana mkuu
Good old daysWale wa kijijini tulikua tunasubiri hadi mpiga picha ajaze mkanda ndo aende mjini kusafisha. Usiombe iwe sio msimu wa sikukuu maana wateja wachache afu baada ya mwezi mzima anakuja picha imeungua😆😆.
Those were the days
Hakika wewe ni mkongweearly 90's, enrique alianza kuimba miaka ya 90 mwanzon, hiyo sad eyes ni ngoma ya 94 , bailamos ni ya 99
We nae unaonekana wajuz juz tuNakumbuka mzee alikua na video tapes za Enrique Iglesias kulikua na videos kama bilamooooooos, sad eyes, maria maria za kina santana, kina Britney Spears, mzee alikua anamkubali sana Enrique mpaka akaniambukiza na mimi! Kipindi hicho Pierce Bosnan ndo alikua James Bond mpaka leo hii hizo ngona naskiliza! I realy miss me.
Hahahaaaaa kitambo mkuu