Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #161
Daaah kweli kabisa mkuu, siku hizi hayapo tena mzee baba watu wanapikia mafuta ya alizeti na michikichiYale madebe yaliandikwa Korie, palikuwa na picha ya mwanaume aliyevalia nguo na kofia nyeupe(mavazi ya wapishi)
unaangalia mpira yani Tv inamzidi Pele kwa chenga ..Kipindi hcho tv ni za antena, ITV ndo ilikua habar ya mjini, yaani mnaangalia tv ina chenga kibao, saiv kuna hd eti
Santuri ndio LP?Dah umenikumbimusha mbali sana. Pilau linapikwa mara 2 kwa mwaka na likipikwa wanaalikwa ndugu.
Wali ulitumia masaa 7 kupikwa maji yanachemshwa, nazi inakunwa moto unawekwa juu ya sinia.
Mgeni akija wa heshima jogoo anachinjwa.
Picha inapigwa huku umejipaka mafuta na kuweka dole.
Ligi za soka za mtaa, na mpira ukiisha ni ngumi mpaka apatikane mbabe wa mtaa.
Picha inapigwa kijijini kuipata ni baada ya mwezi, mpaka mpiga picha akaoshe picha mjini/studio.
Santuri ndio zinatumika, sahani kubwa nyimbo 3
Huyo jamaa ni chizi mkuuUshamba
Sawa bossWild life
Primitive
Feudal
Not for me.
mhhhPrimitive Thinking.
it's just nickname i prefer, sina mahusiona yoyote na zohan mkuuMkuu hili neno "Unju bin Unuq" ina maana moja na hilo jina lako/ID? Kwa maana ndio a.k.a ya rapper mmoja hapa bongo anaitwa Nikki Mbishi.
Drive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?Hakuna kitu nachoki miss kama drive in sinema pia enzi hizo
Tulikuwa wadg lkn tulikuwa tunatoka uswaz kuchk movie kurudi saa saba usiku
Natamani drive in ingerudi aise
Ova
Duh ndiyo hapo tulivyokuwa wadg tulikuwa tunaenda kuangalia sinema bubu...tunakaa njeeDrive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?
Ila ndani nishazamia sanaa watu wanapaki magari wanachk movieDrive-in cinema si ndio ubalozi wa sasa wa USA ulipo?
Bruce leee ndo daaa!Nakumbuka mzee alikua na video tapes za Enrique Iglesias kulikua na videos kama bilamooooooos, sad eyes, maria maria za kina santana, kina Britney Spears, mzee alikua anamkubali sana Enrique mpaka akaniambukiza na mimi! Kipindi hicho Pierce Bosnan ndo alikua James Bond mpaka leo hii hizo ngona naskiliza! I realy miss me.
Bruce Lee alikufa akiwa bado kijana sanaBruce leee ndo daaa!
Wengine wanatumia kishirikina halafu unashangaa kwanini maisha hayasongiiAjabu akija kwenu kachomoa anaenda kwake anaiweka kwenye album yake.
Siku ukienda kwake anakupa album yake uangalie ghafla unakuta ile picha ambayo huionagi nyumbani
Kimoyomoyo unasema kumbe bibi / babu na wewe ni mwizi ee?
Mwisho wa siku album yenu inabaki tupu
Sijui kwanini
Not it's real and it's happening..Yale ndio yalikuwa maisha halisi.
Haya ya sasahivi ni fake.