kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Naliweka hili jamvini ili nipate kujua,
Lwa kifupi mimi ni graduate wa level ya bachelor,lakini ajira imenipa kisogo kwa miaka miwili yaani cjawahi kuajiriwa sasa nimeona nijiajiri lakini juzi nilipata bahati ya kuingia kwenye mkutano wa wadau wa gnld nikaelezwa mengi ambayo yamenishawishi kufanya hiyo biashara japo nijikimu kidogo sasa nilikuwa nawauliza wadau hususan wale ambao wamejihusisha na wanajihusisha na hii biashara.
Je faida ni kama tunavyoshuhudiwa na watu kwenye mikutano ,kama ndivyo ni namna ipi ya kuifanya biashara hii vizuri? Na zipi ni changa moto zake?
Asanteni wadau
Lwa kifupi mimi ni graduate wa level ya bachelor,lakini ajira imenipa kisogo kwa miaka miwili yaani cjawahi kuajiriwa sasa nimeona nijiajiri lakini juzi nilipata bahati ya kuingia kwenye mkutano wa wadau wa gnld nikaelezwa mengi ambayo yamenishawishi kufanya hiyo biashara japo nijikimu kidogo sasa nilikuwa nawauliza wadau hususan wale ambao wamejihusisha na wanajihusisha na hii biashara.
Je faida ni kama tunavyoshuhudiwa na watu kwenye mikutano ,kama ndivyo ni namna ipi ya kuifanya biashara hii vizuri? Na zipi ni changa moto zake?
Asanteni wadau