Wadau nataka kujiua

Wadau nataka kujiua

Wadau naona huyo Mungu wenu ameshindwa kunikill.

Sasa Mimi nataka nijiue mnaonaje?
Soma kwanza huu uzi
 
Mungu anayeangalia watoto wakifariki sababu ya vita na njaa.

Huyo Mungu ni takataka.
Wewe hushangai Mungu alimuumba shetani akiwa malaika na bado akamuasi Mungu.

Lakini Mungu amemuacha mpaka leo anaishi.
Unafikiri ameshindwa kumuangamiza.
 
Hapo inaonesha kazidiwa akili na Wanadamu.
katupa Free will kuwaza kunena na kutenda ili tukubali wenyewe kumtumikia hajakulazimisha, kwani unalazimishwa kufanya maovu na mema ni wewe mwenyewe unachagua kama Unasema kweli mwanadamu kamzidi akili kunywa sumu kama ukishindwa basi ujue ile roho ya mema ndio hio nguvu ya Mungu ipo kwako
 
D
Habari mkuu,

Nini kinakupelekea uchukue hatua hiyo?

Una watoto?
Ni uzembe kuzikimbia changamoto mkuu, lakini hii dunia bna unaweza kudhani hupendwi na huthaminiwi kumbe sivyo, wapo wanaokujali na kukuthamini wanakusubiri useme suu.

Kukaa ni kitu motoni ndio shida ya watu wengi, hii mitandao nayo jau sana. Mtu akileta hoja huku anasimangwa, anatukanwa basi na yeye kwa ufupi wa akili yake anahisi basi dunia nzima imempa kisogo kumbe sivyo.

Fikiri mara mbili kijana.
Unajua changamoto kweli wewe??!!.
 
Huyo Mungu haieleweki sasa, mara tuna free will, mara yeye ndiye apanganye kila kitu,(dilemma).
katupa Free will kuwaza kunena na kutenda ili tukubali wenyewe kumtumikia hajakulazimisha, kwani unalazimishwa kufanya maovu na mema ni wewe mwenyewe unachagua kama Unasema kweli mwanadamu kamzidi akili kunywa sumu kama ukishindwa basi ujue ile roho ya mema ndio hio nguvu ya Mungu ipo kwako
 
Bado nasoma comments zenu kabla sijaenda kuzimu.
 
Kufanyeje?
Wewe ni Muoga Na huezi kujiua Milele huna hio Nguvu.
chaajbu nachoshanga Nikwamba Kibinadamu kinaezaje kujaribu nguvu ambazo hazijui

Kama uchawi unaamni upo amini wokovu wa Mungu upo KAMA UNAECHEMBE YA AKILI UMEELEWA
unapojaribu kuchezea anajibugi hata baada ya miaka20 ila utakumbuka uliongea
 
Back
Top Bottom