Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,152
- 1,696
- Thread starter
- #61
Nilishaachaga kuamini kiumbe kiitwacho Mungu.Jikaze ndugu yangu tupo wengi tunapitia magumu lakini bado tunasonga
Ukijiua utakosea sana na utajuta sana
MUNGU akusaidie
Nilishaachaga kuamini kiumbe kiitwacho Mungu.Jikaze ndugu yangu tupo wengi tunapitia magumu lakini bado tunasonga
Ukijiua utakosea sana na utajuta sana
MUNGU akusaidie
Mshukuru sana Mungu Mbwa wewe.Bado napumua Mkuu.
Mwanetu unataka kufa sasa hiv au badae?
Mungu anayeangalia watoto wakifariki sababu ya vita na njaa.Mshukuru sana Mungu Mbwa wewe.
Anaekuambia Sumu kali nimjanja hajawahi kuonjaWadau naona huyo Mungu wenu ameshindwa kunikill.
Sasa Mimi nataka nijiue mnaonaje?
Stori za Watoto hizo.Wewe ni wa Allah au ni wa Jehova(Mungu wa kweli) kama ni wa Allah kuna rungu kubwa kutoka mashariki mpaka magharibi linakusubiri,malaika wa Allah watakutandika nalo utazama mpaka ardhi ya saba kishq utachomolewa huko ardhini kuendelea kuteswa.
Mliambiwa msababishe vita na njaa? hadi umlalamikie kwa Dhambi Zenu Kubwa Jinga Kweli WeweMungu anayeangalia watoto wakifariki sababu ya vita na njaa.
Huyo Mungu ni takataka.
Nimeshafika kuzimu.Dah, mwanangu msalimie nyerere, mwambie huku sahivi kuna "no reform no Election "🙂
sawaa.Kufa hufi ila chamoto ndio utakiona mpaka akili ije ikukae sawa
Allah Yehova Yahweh hakuna tofautiWewe ni wa Allah au ni wa Jehova(Mungu wa kweli) kama ni wa Allah kuna rungu kubwa kutoka mashariki mpaka magharibi linakusubiri,malaika wa Allah watakutandika nalo utazama mpaka ardhi ya saba kishq utachomolewa huko ardhini kuendelea kuteswa.
Kwa Mungu hakuna hasara, siku unajiua wanazaliwa maelfu.Wadau naona huyo Mungu wenu ameshindwa kunikill.
Sasa Mimi nataka nijiue mnaonaje?
Hapo inaonesha kazidiwa akili na Wanadamu.Mliambiwa msababishe vita na njaa? hadi umlalamikie kwa Dhambi Zenu Kubwa Jinga Kweli Wewe
Kwa Mungu hakuna hasara, siku unajiua wanazaliwa maelfu.
What is stressing you? Your health, your relationship(s) or your finances?
Kufanyeje?tembelea mahospital kabla hujachukua uamzi.
Nyie ndio wale watu wanaolalamikia wengine kwa ujinga Wako wala sikuambi Mungu anakupenda Hioo ni juu yako, Hata shetani anaitaji Wafuasi unaeza ukawa mmoja Wpo ITS GOOD VS EVILNimeshafika kuzimu.
Okay, nitaitazama.Check series moja ya kikorea inaitwa TOMORROW, utajua thamani ya uhai hata kama ni ya kufikirika lakini kuna kitu utajifunza.
Pole sana kwa changamoto unayopitia
Kwa mujibu wa kitabu cha The Da Vinci code, sura ya 22. Yesu alimuoa Mariam Magdalena na walizaa na mtotoKila la heriii mkuu ,msalimiee yesu ,naomba muulizee ni kwann hakutakaga kuoa kbs au kujigusisha na wanawakeee🤔🤔
Asante.Hongera mkuu bora wewe umetambua unahitaji nini