Wewe soma kwanza kilimo kipo tuNipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu
Kweli akomae na kitabuunaweza kulima baada ya kumaliza kusoma lakini ukianza kilimo kusoma sahau....!! ukifanya vyote tegemea kufail
Haya maisha ukikomaa na kitabu peke ake utaishia kupata hela ya kula na unaweza ukakosa kabisa hela yenyewe ya kulaKweli akomae na kitabu
Thanks much ndugu mana haya maisha nikitegemea kitabu pekee ntaishia kupata hela ya ugali tu 🙂Kilimo cha mihogo hakihitaji mda mwingi uwepo shamba unaweza fanya kama una mtaji acha na hz habari za eti kwa vile unajenga hakuna kula nyama nyumbani world has changed unao huo uwezi na upo ndani yako weka 100% commitment hutafeli have a new experiance
Kila la kheri
Kazana na kitabu acha kufikiria mambo ya kilimo na biashara, hayo masuala ya kilimo na biashara utayakuta mbeleni.Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu đź’ˇ