shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 1,509
- 2,997
- Thread starter
- #81
Hauwezi kunijua zabroni kafanya kazi na watu wengi sanaHongera kijana,ulipomtaja zablon nimekufahamu
Hauwezi kunijua zabroni kafanya kazi na watu wengi sanaHongera kijana,ulipomtaja zablon nimekufahamu
Asante kiongoziAskari uwa hashindwi jambo ,embu simama jisimamie mike usiogope habari za ndugu wapuuuzi kama huyo kaka yako
Kaka yangu anajua mchango wangu kwake hebu rudia kusomaJamaa unasikitisha sana yaani kwa msoto uliopitia na hukuonesha hata mchango wowote kutoka kwa kaka yako bado unaendekeza upumbavu sijui wa kukopea mtu may be labda kuna sehemu alikupiga tafu sana unatuficha.
Samahani mama samia kama nimekukwazaKwa hili jibu lako inaonekana una tatizo kichwani
Mwambie huyu jamaaAcha usengee Asa we hati Yako nzurii itakupeleka mbinguni,ujuaji wa kifala.Mtu anachangamoto wee unacoment kishoga😏
Siwezi mkuu hata dar walikuwa wananiuliza huyo mwanamke umemtoa wapiHakika jamaa nimependa kujisurubisha kwake. Haina kujionea huruma. Sema na mwanamke nae alimpata , mwanamke wa namna hiyo kiukweli ni baraka straight toka kwa Mungu haina mjadala. Huyo mama siku ukimtenda ukamzimgua hapo lazima Sir God mwenyewe akushughulikie ipasavyo, yan hiyo kazi ya kukunyoosha hatumi malaika wala shetani, ataifanya mwenyewe 😂😂
Unaogopa masimango ya maroboti yaliyokosa Nida? 😹😹😹Tukope twende china tukirudi tusimamgwe na wana jf 😂😂
NEver say never, just pray God that life should be wellSiwezi mkuu hata dar walikuwa wananiuliza huyo mwanamke umemtoa wapi
Wewe ndio hujaelewa kwenye story yako ulichangiwa pesa ya nauli na mama mkwe kaka yako huyo alikuwa wapiKaka yangu anajua mchango wangu kwake hebu rudia kusoma
Pole sana mzeeSie wengine tumekutana na misukule
Sijaona wa kunitisha humu naamua kukaa kimya wakiona ghali watembee peku, au wavae kanzu 😂 😂Unaogopa masimango ya maroboti yaliyokosa Nida? 😹😹😹
Siwezi kabisaMIMI NI MWANAUME MWEZAKO ILA NDUGU YANGU UKITAJIRIKA NA UKAJA KUMUACHA HUYO MWANAMKE AU KUMNYANYASA KWA AINA YEYOTE ILE MUNGU ATAKULAANI .. HUU NI UKWELI NA KUAMBIA MAANA SISI WANAUME TUKIPATA KAZI NA HELA HUAGA TUNASAHAU WAKE ZETU TULIO TOKA NAO CHINI MAVUMBINI.
Alikuwepo sema baada ya kumaliza chuo akasema mchango wake umeishia hapoWewe ndio hujaelewa kwenye story yako ulichangiwa pesa ya nauli na mama mkwe kaka yako huyo alikuwa wapi
Mzee nikisema tafahamikaMzee upo halmashaur Gani unaonekana una kitu kichwani
Ngoja nikutafutie vita hakuna kukaa kinyonge bando lenyewe la 24hrs utalifidia vipi? 😹😹Sijaona wa kunitisha humu naamua kukaa kimya wakiona ghali watembee peku, au wavae kanzu 😂 😂
Shkamoo LamomyNgoja nikutafutie vita hakuna kukaa kinyonge bando lenyewe la 24hrs utalifidia vipi? 😹😹
Sema mkali unachamba utanifaa sana kwenye vita zangu, acha nikusajili 😹😹
AsanteAiseeee, jamaa hongera sana, Mke unaye.
Usimwache asilani, hata kwa kushawishiwa usithubutu.