Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,098
- 8,205
Hongera sana Mpambanaji.
Inawezekana wewe umepitia maisha mazuri shukuru mungu ndiomaana unasema uongo sinahaja ya kusema uongo ili nipate ninini.Hadithi njoo uwongo njoo utamu kolea
Hadithi njoo uwongo njoo utamu kolea
Basi mmejitahidi sana kumbeba,Nimsaada tu harudishi
Asante kijanaHongera sana Kamanda
Usithubutu kukopa tena kwaajili Yake hata kama atakuchukia lakini umemsaidia yatosha Mungu amekuona.Nalipa mwenyewe kupitia mshahara na mwaka huu naumaliza
Ni kweli hapa alibugi ilibidi arejeshe aliyepewa mkopo (kaka) na kama wangekubaliana hivyo kaka angekuwa na discipline.Yan unamkopea na marejesho unarudisha wewe? Kheri nusu shari, kataa.
Acha utoto kumbuka na wewe unafamilia inayokutegemea, siku zote mtu huumizwa na kitu asichokijuwa sasa wewe unateswa na unachokijuwa 😳Muendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.
Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.
Changamoto za kifamilia
Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.
Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .
Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .
Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu
Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.
Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .
Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.
Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.
Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje
If you’d be positive for a second utagundua wale so called ‘ ndugu wanaojiskia/ roho mbaya ‘ ni jamaa flani tuu waloamua kutoruhusu drama za ukoo ziingie kwenye familia zao and some random relatives didn’t like that so they spread the propaganda about them and people fell for it.Muendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.
Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.
Changamoto za kifamilia
Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.
Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .
Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .
Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu
Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.
Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .
Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.
Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.
Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje