shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 1,509
- 2,997
- Thread starter
- #41
Ukijua itakusaidia nini"Taendeleza"... ni mhitimu wa chuo gani?
Ukijua itakusaidia nini"Taendeleza"... ni mhitimu wa chuo gani?
Asante dada yangu kwa ushauriWanaume walozungumzwa kwenye vitabu vya dini ni wewe na mume wangu#kidding😅
Hongera sana ww ndo definition ya mpambanaji
Kuhusu huyo ndugu yako mu ignore inapowezaka sehemu ya kumpiga tafu fanya hivyo ila usichukue mkopo
kwa ajili yake
Uandishi ni taaluma na pia nikipaji inawezekana sina kipaji na nataalumaa hii ila uzuri ujumbe umefika. Asante kwa mchango wakoPole kwa changamoto, mwalimu mbona una hati mbaya sana? Watoto unawafundisha nini huko shuleni?
Sie wengine tumekutana na misukuleHata mwanamke alie nae amechangia sana kumfanya jamaa atoboe, yaani ana wife material jamaa ali bahatisha aisee sio sie tunakutana na vikosi vya mizinga AkA golddiggers. Wanawake wa sasa wenye akili ya maisha ni wa kubahatisha sana..
pole sana mkuu,Sie wengine tumekutana na misukule
We jamaa Mbona ulisema mwaka jana upo Mpanda una Lima!Habari wadau mimi ni kijana wa 30+ nina mke na mtoto mmoja ni muajiriwa wa serikali .
Nilimaliza chuo mwaka 2015 ila nikaajiriwa 2021 kipindi namaliza chuo nilipitia wakati mgumu sana wa ukosefu wa ajira nikaamua kwenda mpanda kwenda kukata mkaa nilipopata hela nikakodi shamba nikalima mahindi Mungu akasaidia nikapata gunia kumi nikauza yote kwa 480000 hiyo ni mwaka 2016
Baada ya kuuza na mkaa niliyokuwa nimechoma nilipata kama laki sita jumla da nikaamua kuhama kuja mwanza nikapanga maeneo ya kirumba mlimani nikaanza biashara ya kufata dagaa kisiwani nakuja kuuza mwaroni kirumba bahati mbaya madalali wakanipiga hela nikawa nimefuria huku nyuma mpenzi wangu akawa anahitaji aje tuanze maisha .
Nilimsihi anivumilie lakini akalazimisha kuja akapewa mchele ,unga, na vyombo akajanavyo hatimae nikawa nimeoa . Baada ya kuoa ndio nilikuwa nimejiongezea matatizo nilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi nilikonda hadi nikawa nawakimbia watu niliosoma nao nikiwaona mwanza.
Nikaanza kuwa natafuta vibarua vya ujenzi pia nikawa nafanya kazi za bustani kupanda ukoka na majani kwenye nyumba za watu hiyo kazi nilipewa na jamaa yangu anaitwa zabroni yupo hapo mwanza misheni karibu na kanisa la makongolo.
Muda nafanyanae kazi alikuwa hajui kama nimesoma nilijaribu kuficha mambo yangu.jamaa alikuwa anachukua tenda sisi tuna kuwa kama vibarua tumefanyq nae kazi maeneo mengi mfano isamilo,maina bendera tatu, bugarika pasiansi na sehemu zingine.
Lakini maisha yakawa yanazidi kuwa magumu sana.mke wangu akanishauri tuhamie dar maana yeye aliwahi kuishi dar sasa kimbembe kikawa nauli ikabidi tushauriane maamuzi yakawa aombe hela kwa mama yake.
Mama mkwe alikuwa ananipenda sana maana nilionesha mapenzibya dhati kwa mtoto wake na pia alikuwa anampenda mwanae ikabidi atutumie laki mbili nikatoa safari ya dar ikaanza
Tulisafiri kwa treni muda huo tuna godoro tu na vyombo tulivyofika dar akaniambia tukatafute chumba manzese siku hiyo hatukupata hiyo ilikuwa 2017 octoba
Tukalala gesti maeneo ya kigogo kesho yake akashauri twende kongowe njia ya kwenda vikindu tukaenda tukampata dalali tukapta chumba cha giza shilingi 15000 kwa mwezi tukaanza maisha hapo muda huo vyombo tunavyo kimbembe kikawa godoro kumbe behewa la mizigo lilibaki Tabora.
Ikabidi tulale chini bila godoro kwa muda wa wiki mbili ndio godoro likawa limefika tukalifata paceli .
Sasa ninanza maisha ya dar je nitafanya kazi gani .
Nikawa nazurura nakutana na waruguru wanauza ndizi mbichi ,njegere, na mbaazi nikawauliza wakanieleza wanapozitoa
Nikaenda kushaulianq na mke wangu akasema anapajua mabibo ataenda kuangalia ndizi
Kesho yake mke wangu nikamsindikiza stendi kongowe mwisho saa kumi usiku tukakubaliana tukutanie mbagala rangi tatu nakumbuka alienda na 15000 kama mtaji akaenda kununuq mikungu miwili ya ndizi bukoba tukaja tukagawana nusu kwa nusu.
Tukagawana mitaa ya kuuza maeneo yq kurasini mji mpya hapo mitaa siijui siku yakwanza nakumbuka tulipata faida ya shilingi 10000 ukiondoa mtaji
Tuliendelea kuwa tunauza nae ikabidi aniambie niwe naendq mimi sokoni kuchukuwa mzigo nikawa naenda mimi tunagawania mbagara tunauza kwa kichwa kila mtu mtaa wake .
Kumbe tulipotoka mwanza alikuwa mjamzito ikabidi tumbo lilivyofika miezi mitano akanza kuumwa ikabidi hospitali washauri apunguze kazi nzito ikabidi nimpumzishe nikaanza kukomaa mwenyewe hatimae nikawa na jina kwenye mabaa mengi nikawa nasambaza ndizi mzuzu na mshale.
Muda wa kujifungu ulipofika 2018 nikamsafirisha mkoani kwetu akaenda kujifungua mimi nikabaki nakomaa nilipata hela kweli mke wangu akajifungua kwa oparesheni mtoto wa kiume nilifurahi sana toto tunafanana nalo sana
Kule alikaa miezi miwili akarudi dar muda huo ninavihela tukashauriana tuhamie mbagara kibonde maji tukapanga nyumba ya umeme nikanunua tv ya chogo na sabufa sipiano alivyo baadae mke wangu akanishauri baskeli.
Ngoja niwakumbushe kitu kipindi tupo kongowe tuliweza kununua kitanda na godoro mpaka anaenda kujifungua tulikuwa tumesha nunuq hivyo vitu.
Tuendelee nikaenda kununua baskeli maeneo ya china plaza .
Nikaqnza kuuza ndizi kwa baskeli nikakipumzisha kichwa. Nikauza sana tu hapo kibonde maji kulitokea wizi ikabidi tuhamie kurasini mji mpya
20218 Serikali ikatangaza ajira nikaomba nikakosa niliumia sana ila mke wangu akanifariji sana nikazoea
Mungu saidia 2020 mwishoni nikapata ajira nikaanza kazi 2021
Pia nilikuwaga naomba kazi private lakini sikuwahi kupata
Kesho tutaendelea na kiini cha stori yangu. Ila niwakumbushe kuwa huyu mke wangu tulianza nae mahusiani 2008 mimi nilikuwa kidato cha tatu yeye cha kwanza ndio huyu tupo nae mpaka leo
Una uhakika si chaiWanaume walozungumzwa kwenye vitabu vya dini ni wewe na mume wangu#kidding😅
Hongera sana ww ndo definition ya mpambanaji
Kuhusu huyo ndugu yako mu ignore inapowezaka sehemu ya kumpiga tafu fanya hivyo ila usichukue mkopo
kwa ajili yake
Huko mpanda naendaga kulima yupo kaka yangu na mdogo wangu ila mimi nimuajiriwa wa serikali huko naenda sana nalima mahindi maeneo ya mpanda ndogo/ majarilaWe jamaa Mbona ulisema mwaka jana upo Mpanda una Lima!
![]()
Vijana tusing'ang'anie Dar
Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii, Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna...www.jamiiforums.com
Kichwa cha habari 😂😂😂Habari wadau mimi ni kijana wa 30+ nina mke na mtoto mmoja ni muajiriwa wa serikali .
Nilimaliza chuo mwaka 2015 ila nikaajiriwa 2021 kipindi namaliza chuo nilipitia wakati mgumu sana wa ukosefu wa ajira nikaamua kwenda mpanda kwenda kukata mkaa nilipopata hela nikakodi shamba nikalima mahindi Mungu akasaidia nikapata gunia kumi nikauza yote kwa 480000 hiyo ni mwaka 2016
Baada ya kuuza na mkaa niliyokuwa nimechoma nilipata kama laki sita jumla da nikaamua kuhama kuja mwanza nikapanga maeneo ya kirumba mlimani nikaanza biashara ya kufata dagaa kisiwani nakuja kuuza mwaroni kirumba bahati mbaya madalali wakanipiga hela nikawa nimefuria huku nyuma mpenzi wangu akawa anahitaji aje tuanze maisha .
Nilimsihi anivumilie lakini akalazimisha kuja akapewa mchele ,unga, na vyombo akajanavyo hatimae nikawa nimeoa . Baada ya kuoa ndio nilikuwa nimejiongezea matatizo nilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi nilikonda hadi nikawa nawakimbia watu niliosoma nao nikiwaona mwanza.
Nikaanza kuwa natafuta vibarua vya ujenzi pia nikawa nafanya kazi za bustani kupanda ukoka na majani kwenye nyumba za watu hiyo kazi nilipewa na jamaa yangu anaitwa zabroni yupo hapo mwanza misheni karibu na kanisa la makongolo.
Muda nafanyanae kazi alikuwa hajui kama nimesoma nilijaribu kuficha mambo yangu.jamaa alikuwa anachukua tenda sisi tuna kuwa kama vibarua tumefanyq nae kazi maeneo mengi mfano isamilo,maina bendera tatu, bugarika pasiansi na sehemu zingine.
Lakini maisha yakawa yanazidi kuwa magumu sana.mke wangu akanishauri tuhamie dar maana yeye aliwahi kuishi dar sasa kimbembe kikawa nauli ikabidi tushauriane maamuzi yakawa aombe hela kwa mama yake.
Mama mkwe alikuwa ananipenda sana maana nilionesha mapenzibya dhati kwa mtoto wake na pia alikuwa anampenda mwanae ikabidi atutumie laki mbili nikatoa safari ya dar ikaanza
Tulisafiri kwa treni muda huo tuna godoro tu na vyombo tulivyofika dar akaniambia tukatafute chumba manzese siku hiyo hatukupata hiyo ilikuwa 2017 octoba
Tukalala gesti maeneo ya kigogo kesho yake akashauri twende kongowe njia ya kwenda vikindu tukaenda tukampata dalali tukapta chumba cha giza shilingi 15000 kwa mwezi tukaanza maisha hapo muda huo vyombo tunavyo kimbembe kikawa godoro kumbe behewa la mizigo lilibaki Tabora.
Ikabidi tulale chini bila godoro kwa muda wa wiki mbili ndio godoro likawa limefika tukalifata paceli .
Sasa ninanza maisha ya dar je nitafanya kazi gani .
Nikawa nazurura nakutana na waruguru wanauza ndizi mbichi ,njegere, na mbaazi nikawauliza wakanieleza wanapozitoa
Nikaenda kushaulianq na mke wangu akasema anapajua mabibo ataenda kuangalia ndizi
Kesho yake mke wangu nikamsindikiza stendi kongowe mwisho saa kumi usiku tukakubaliana tukutanie mbagala rangi tatu nakumbuka alienda na 15000 kama mtaji akaenda kununuq mikungu miwili ya ndizi bukoba tukaja tukagawana nusu kwa nusu.
Tukagawana mitaa ya kuuza maeneo yq kurasini mji mpya hapo mitaa siijui siku yakwanza nakumbuka tulipata faida ya shilingi 10000 ukiondoa mtaji
Tuliendelea kuwa tunauza nae ikabidi aniambie niwe naendq mimi sokoni kuchukuwa mzigo nikawa naenda mimi tunagawania mbagara tunauza kwa kichwa kila mtu mtaa wake .
Kumbe tulipotoka mwanza alikuwa mjamzito ikabidi tumbo lilivyofika miezi mitano akanza kuumwa ikabidi hospitali washauri apunguze kazi nzito ikabidi nimpumzishe nikaanza kukomaa mwenyewe hatimae nikawa na jina kwenye mabaa mengi nikawa nasambaza ndizi mzuzu na mshale.
Muda wa kujifungu ulipofika 2018 nikamsafirisha mkoani kwetu akaenda kujifungua mimi nikabaki nakomaa nilipata hela kweli mke wangu akajifungua kwa oparesheni mtoto wa kiume nilifurahi sana toto tunafanana nalo sana
Kule alikaa miezi miwili akarudi dar muda huo ninavihela tukashauriana tuhamie mbagara kibonde maji tukapanga nyumba ya umeme nikanunua tv ya chogo na sabufa sipiano alivyo baadae mke wangu akanishauri baskeli.
Ngoja niwakumbushe kitu kipindi tupo kongowe tuliweza kununua kitanda na godoro mpaka anaenda kujifungua tulikuwa tumesha nunuq hivyo vitu.
Tuendelee nikaenda kununua baskeli maeneo ya china plaza .
Nikaqnza kuuza ndizi kwa baskeli nikakipumzisha kichwa. Nikauza sana tu hapo kibonde maji kulitokea wizi ikabidi tuhamie kurasini mji mpya
20218 Serikali ikatangaza ajira nikaomba nikakosa niliumia sana ila mke wangu akanifariji sana nikazoea
Mungu saidia 2020 mwishoni nikapata ajira nikaanza kazi 2021
Pia nilikuwaga naomba kazi private lakini sikuwahi kupata
Kesho tutaendelea na kiini cha stori yangu. Ila niwakumbushe kuwa huyu mke wangu tulianza nae mahusiani 2008 mimi nilikuwa kidato cha tatu yeye cha kwanza ndio huyu tupo nae mpaka leo
Kimefanyaje mkuuKichwa cha habari 😂😂😂
Mzee Mungu ni mwemamzee ulipitia msoto shukuru umesoma vinginevyo maisha yakekupiga kwa K.O
maisha yana ups and downs lakini ulizishinda kudos mwamba
Ndio maisha yetu mzee nikupambana kazi ya mkaa ni nzito nilikonda hadi zile nguo nilizotokanazo chuo zilinipwaya nikaenda kuzimodoaDah,mzee unajua kupambana,hadi mkaa umechoma?
MIMI NI MWANAUME MWEZAKO ILA NDUGU YANGU UKITAJIRIKA NA UKAJA KUMUACHA HUYO MWANAMKE AU KUMNYANYASA KWA AINA YEYOTE ILE MUNGU ATAKULAANI .. HUU NI UKWELI NA KUAMBIA MAANA SISI WANAUME TUKIPATA KAZI NA HELA HUAGA TUNASAHAU WAKE ZETU TULIO TOKA NAO CHINI MAVUMBINI.Habari wadau mimi ni kijana wa 30+ nina mke na mtoto mmoja ni muajiriwa wa serikali .
Nilimaliza chuo mwaka 2015 ila nikaajiriwa 2021 kipindi namaliza chuo nilipitia wakati mgumu sana wa ukosefu wa ajira nikaamua kwenda mpanda kwenda kukata mkaa nilipopata hela nikakodi shamba nikalima mahindi Mungu akasaidia nikapata gunia kumi nikauza yote kwa 480000 hiyo ni mwaka 2016
Baada ya kuuza na mkaa niliyokuwa nimechoma nilipata kama laki sita jumla da nikaamua kuhama kuja mwanza nikapanga maeneo ya kirumba mlimani nikaanza biashara ya kufata dagaa kisiwani nakuja kuuza mwaroni kirumba bahati mbaya madalali wakanipiga hela nikawa nimefuria huku nyuma mpenzi wangu akawa anahitaji aje tuanze maisha .
Nilimsihi anivumilie lakini akalazimisha kuja akapewa mchele ,unga, na vyombo akajanavyo hatimae nikawa nimeoa . Baada ya kuoa ndio nilikuwa nimejiongezea matatizo nilipitia wakati mgumu sana wa kiuchumi nilikonda hadi nikawa nawakimbia watu niliosoma nao nikiwaona mwanza.
Nikaanza kuwa natafuta vibarua vya ujenzi pia nikawa nafanya kazi za bustani kupanda ukoka na majani kwenye nyumba za watu hiyo kazi nilipewa na jamaa yangu anaitwa zabroni yupo hapo mwanza misheni karibu na kanisa la makongolo.
Muda nafanyanae kazi alikuwa hajui kama nimesoma nilijaribu kuficha mambo yangu.jamaa alikuwa anachukua tenda sisi tuna kuwa kama vibarua tumefanyq nae kazi maeneo mengi mfano isamilo,maina bendera tatu, bugarika pasiansi na sehemu zingine.
Lakini maisha yakawa yanazidi kuwa magumu sana.mke wangu akanishauri tuhamie dar maana yeye aliwahi kuishi dar sasa kimbembe kikawa nauli ikabidi tushauriane maamuzi yakawa aombe hela kwa mama yake.
Mama mkwe alikuwa ananipenda sana maana nilionesha mapenzibya dhati kwa mtoto wake na pia alikuwa anampenda mwanae ikabidi atutumie laki mbili nikatoa safari ya dar ikaanza
Tulisafiri kwa treni muda huo tuna godoro tu na vyombo tulivyofika dar akaniambia tukatafute chumba manzese siku hiyo hatukupata hiyo ilikuwa 2017 octoba
Tukalala gesti maeneo ya kigogo kesho yake akashauri twende kongowe njia ya kwenda vikindu tukaenda tukampata dalali tukapta chumba cha giza shilingi 15000 kwa mwezi tukaanza maisha hapo muda huo vyombo tunavyo kimbembe kikawa godoro kumbe behewa la mizigo lilibaki Tabora.
Ikabidi tulale chini bila godoro kwa muda wa wiki mbili ndio godoro likawa limefika tukalifata paceli .
Sasa ninanza maisha ya dar je nitafanya kazi gani .
Nikawa nazurura nakutana na waruguru wanauza ndizi mbichi ,njegere, na mbaazi nikawauliza wakanieleza wanapozitoa
Nikaenda kushaulianq na mke wangu akasema anapajua mabibo ataenda kuangalia ndizi
Kesho yake mke wangu nikamsindikiza stendi kongowe mwisho saa kumi usiku tukakubaliana tukutanie mbagala rangi tatu nakumbuka alienda na 15000 kama mtaji akaenda kununuq mikungu miwili ya ndizi bukoba tukaja tukagawana nusu kwa nusu.
Tukagawana mitaa ya kuuza maeneo yq kurasini mji mpya hapo mitaa siijui siku yakwanza nakumbuka tulipata faida ya shilingi 10000 ukiondoa mtaji
Tuliendelea kuwa tunauza nae ikabidi aniambie niwe naendq mimi sokoni kuchukuwa mzigo nikawa naenda mimi tunagawania mbagara tunauza kwa kichwa kila mtu mtaa wake .
Kumbe tulipotoka mwanza alikuwa mjamzito ikabidi tumbo lilivyofika miezi mitano akanza kuumwa ikabidi hospitali washauri apunguze kazi nzito ikabidi nimpumzishe nikaanza kukomaa mwenyewe hatimae nikawa na jina kwenye mabaa mengi nikawa nasambaza ndizi mzuzu na mshale.
Muda wa kujifungu ulipofika 2018 nikamsafirisha mkoani kwetu akaenda kujifungua mimi nikabaki nakomaa nilipata hela kweli mke wangu akajifungua kwa oparesheni mtoto wa kiume nilifurahi sana toto tunafanana nalo sana
Kule alikaa miezi miwili akarudi dar muda huo ninavihela tukashauriana tuhamie mbagara kibonde maji tukapanga nyumba ya umeme nikanunua tv ya chogo na sabufa sipiano alivyo baadae mke wangu akanishauri baskeli.
Ngoja niwakumbushe kitu kipindi tupo kongowe tuliweza kununua kitanda na godoro mpaka anaenda kujifungua tulikuwa tumesha nunuq hivyo vitu.
Tuendelee nikaenda kununua baskeli maeneo ya china plaza .
Nikaqnza kuuza ndizi kwa baskeli nikakipumzisha kichwa. Nikauza sana tu hapo kibonde maji kulitokea wizi ikabidi tuhamie kurasini mji mpya
20218 Serikali ikatangaza ajira nikaomba nikakosa niliumia sana ila mke wangu akanifariji sana nikazoea
Mungu saidia 2020 mwishoni nikapata ajira nikaanza kazi 2021
Pia nilikuwaga naomba kazi private lakini sikuwahi kupata
Kesho tutaendelea na kiini cha stori yangu. Ila niwakumbushe kuwa huyu mke wangu tulianza nae mahusiani 2008 mimi nilikuwa kidato cha tatu yeye cha kwanza ndio huyu tupo nae mpaka leo