The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,217
- 16,089
Achana na huyo kaka yako.
Usipokua makini mtaanguka wote,atakuangusha wewe na familia yako.
Usipokua makini mtaanguka wote,atakuangusha wewe na familia yako.
Tofauti ya ubongo wako na mavi ni joto tuShoga wewe na Baba Yako,mamaee.
Ni changamoto aseeh Ila mwenye maamuzi ni jamaa maake mambo ya ndg bhn, afu kwenye huo mtego alionasa atumie akili la sivyo atatumika vibaya mnoHapo kwenye mikopo saidia Mara moja.
Mimi nashukuru mzee wetu alikua anasema nakusaidia ili wewe uweze kusimama na kujitegemea.
Ukiweza Kuni saidia sawa usipo weza sawa kikubwa uweze kujitegemea wewe Kama wewe.
Huyo kaka yao ni ndugu LAWAMA huyo ni gunia la misumari halibebeki na ukilibeba lazima likuchome chome
Nguruwe poliii,tuliaa. Unazarauu mwenzio wakati unatembeaa na mavii.Maamaee.Tofauti ya ubongo wako na mavi ni joto tu
Marhaba hujambo?Shkamoo Lamomy
Huyo bro wenu mlimuendekezaMuendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.
Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.
Changamoto za kifamilia
Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.
Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .
Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .
Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu
Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.
Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .
Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.
Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.
Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje
SijamboMarhaba hujambo?
Nimekumbuka kwenye kazi zangu ya kwanza kwanza nilikua nikipokea mshahara brother ananipa invoice nimuazime 3/4 ya mshahara then atanirudishia..Ni changamoto aseeh Ila mwenye maamuzi ni jamaa maake mambo ya ndg bhn, afu kwenye huo mtego alionasa atumie akili la sivyo atatumika vibaya mno
Nikweli mzee mimi niwashauri vijana waliomaliza vyuo wasikate tamaa ifike muda waweke vyeti pembeniHongera yote ni maisha na mapito katika familia maskini kama ss lazima upite vikwazo fulani na uvushinde...
GOOD LUCK
Mkopo huwa analipa tuseme kama vile rejesho kila mwezi kufidishia kile unakatwa benki kwenye mshahara ama ni msaada tu mnafanyia harejeshi?Muendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.
Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.
Changamoto za kifamilia
Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.
Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .
Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .
Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu
Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.
Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .
Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.
Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.
Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje
Kilicho bakia ni kupambana mpaka pumzi ya mwisho,,Nikweli mzee mimi niwashauri vijana waliomaliza vyuo wasikate tamaa ifike muda waweke vyeti pembeni
Nimsaada tu harudishiMkopo huwa analipa tuseme kama vile rejesho kila mwezi kufidishia kile unakatwa benki kwenye mshahara ama ni msaada tu mnafanyia harejeshi?