Wadau mnaishije na ndugu?

Wadau mnaishije na ndugu?

Wanaume walozungumzwa kwenye vitabu vya dini ni wewe na mume wangu#kidding
Hongera sana ww ndo definition ya mpambanaji
Kuhusu huyo ndugu yako mu ignore inapowezaka sehemu ya kumpiga tafu fanya hivyo ila usichukue mkopo
kwa ajili yake
Hii aiwekee lamination kabisa na ai pin sebleni awe anaisoma kila siku...

Uzuri ni kwamba ameshamsaidia hasaidiki ila sasa huyo ndugu yake amemgeuza jamaa kama proxy wa kupata pesa ili afanyie usengèrema..
 
Pole kwa changamoto, mwalimu mbona una hati mbaya sana? Watoto unawafundisha nini huko shuleni?
 
Hii aiwekee lamination kabisa na ai pin sebleni awe anaisoma kila siku...

Uzuri ni kwamba ameshamsaidia hasaidiki ila sasa huyo ndugu yake amemgeuza jamaa kama proxy wa kupata pesa ili afanyie usengèrema..
Yeah huyo ndugu yake namfananisha na tumbo na mnyama fulani anaitwa punda
 
Hata mwanamke alie nae amechangia sana kumfanya jamaa atoboe, yaani ana wife material jamaa ali bahatisha aisee sio sie tunakutana na vikosi vya mizinga AkA golddiggers. Wanawake wa sasa wenye akili ya maisha ni wa kubahatisha sana..
Kweli kabisa,ukipata mwenza mzuri walau unafarajika hata unapo kutana na magumu

Si unaona baada ya kukosa ajira ya kwanza,wife alimpa moyo,sasa wangekuwa hawa akina mwajuma ndala ndefu au fetty wa mikoroshini (Evelyn Salt ) utajua haujui
 
Muendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.

Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.

Changamoto za kifamilia


Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.


Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .

Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .

Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu

Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.

Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .


Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.

Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.

Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje
Unauliza ufanyeje kwa mtu ambaye unajua kabisa hela anatumia hovyo?
 
Muendelezo.
Baada ya kupata kazi ilibidi tuhame dar kuja mkoani geita nilipo hadi sasa .ngoja niwarudishe nyuma makuzi yangu mimi ni mtu ambaye nilifiwa na wazazi wangu wote wawili kabla hata sijaanza shule kwahiyo tulilelewa na babu na bibi mwaka 2004 babu alifariki ikabidi mzigo wa malezi au bebe kaka mkubwa.

Yeye alikuwa mkulima tu hapo kijijini kwetu tumekuwa kwa tabu sana mungu saidia kati yetu wawili tumebahatika kuajiriwa wanne sio waajiriwa maana tupo sita na wote ni wakiume mimi wapili kutoka mwisho.

Changamoto za kifamilia


Kipindi nipo shule kaka yangu mkubwa alipata matatizo ya kimaisha ikampelekea kuyumba sana kiuchumi nikawa namtumia hela ndogondogo za boom na kaka ninae mfata ndio alianza kuajiriwa akawa amechukua mkopo kumsaidia broo mkubwa akawa amehama mkoa akaenda kununua mashamba na kuanza upya.


Sasa changamoto ya kaka yetu mkubwa ana matumizi mabaya sana anapenda wanawake na amezaa sana anawatoto timu ya mpira na lizevu watatu
.Huyu kaka niliyemfata amekuwa akichukua mikopo kumsapoti lakini kila mara analalamika tu .

Mimi mwenyewe nimekuwa nikimshauri kuacha tabia ya kuzaa sana ila amekuwa akikasirika sana kusema ukweli kaka yangu ni mpambanaji sana tatizo ni matumizi yake ndio mabovu huwa naumia sana basi tu .

Nilivyoingia kazini mwaka wapili tu yaani 2022 akawa ametuita nyumbani kumbe lengo lake ni kumchukulia mkopo pendekezo likawa kwangu kwamaana sijawahi kuchukua ikabidi nichukue milioni nne mbili na nusu nikamtumia kaka moja na nusu nikaongezea kupaua ka nyumba kangu nilikuwa nimeanza kujenga kadogo tu

Sasa shida ilianzia hapo ninamkopo wa chuo na huo wa nmb ila najikaza mungu anasaidia mdogomdogo.

Baada ya mwaka mmoja kaka yangu akataka nichukue tena mkopo hapo ndipo mgogoro ulipoanzia muda huo ninamkopo wa miaka mitatu tamaliza mwaka huu mwezi wa kumi na moja sasa anataka tena nimkopee tena da nikawa nimegoma na nikamueleza ukwelo ila haelewi .


Ukiondoa huo mkopo niliompa kuna hela nyingi nilikuwa na mtumia karibia laki tano.

Sasa wadau sio kwamba ninaroho mbaya ila kaka anatumia sana kuhonga wanawake maana hata shemeji alishalalamika sana kuhusu tabia yake.

Ninapitia wakati mgumu sana sijui wadau nifanyaje
Pole mwalimu,maisha mapambano,nakuhakikishia utatoboa
 
Kwanza huyo zabron namfahamu anaishi karib na AIC MAKONGORO KABLA HUJAFKA MATAA YA NELA!
kikubwa usimkasirikie kaka yako mkubwa, kuna sehemu umemtaja kama alibeba mzigo kukutunza, huwez jua alipitia mambo gan kuwatunza..
kaen naye mfundishe nidhamu ya fedha. UMETUNZWA NA NDUGU, USIWAKIMBIE NDUGU..
inawezekana MUNGU kakuweka kwenye mizani, jipime vizuri bila ghadhabu.
 
Pole mwalimu,maisha mapambano,nakuhakikishia utatoboa
Hatotoboa zaidi ya hapo, au atarudi nyuma na kuishi maisha kagumu sana endapo hatofanya maamuzi magumu ya kukataa kutumika na hao ndugu zake wanao mdanganya awakopee wao wafanya ujinga lich ya kua kasaidiwa nao huko nyuma ila msaada wao usigeuke kama fimbo sasa kwake.....

......Anatakiwa awe na roho ya kibandidu sasa apambanie familiar yake kwanza, huu ndiyo muda wa kuenjoy yeye na mke wake na mwanae kwa msoto aliopitia huko way back anatakiwa a refresh maisha awe na furaha sio stress za kujitakia..
 
Kwanza huyo zabron namfahamu anaishi karib na AIC MAKONGORO KABLA HUJAFKA MATAA YA NELA!
kikubwa usimkasirikie kaka yako mkubwa, kuna sehemu umemtaja kama alibeba mzigo kukutunza, huwez jua alipitia mambo gan kuwatunza..
kaen naye mfundishe nidhamu ya fedha. UMETUNZWA NA NDUGU, USIWAKIMBIE NDUGU..
inawezekana MUNGU kakuweka kwenye mizani, jipime vizuri bila ghadhabu.
Acha kushauri ujinga. Huyu akifuata huu ushauri wako atakuwa fukara kama ndugu zake. Bora kwa sasa hivi akaweka tinted hata miaka mitatu ili awe sawa kwanza kwa upande wake. Sasa wote wakiwa maskini watasaidianaje?
 
Kwanza huyo zabron namfahamu anaishi karib na AIC MAKONGORO KABLA HUJAFKA MATAA YA NELA!
kikubwa usimkasirikie kaka yako mkubwa, kuna sehemu umemtaja kama alibeba mzigo kukutunza, huwez jua alipitia mambo gan kuwatunza..
kaen naye mfundishe nidhamu ya fedha. UMETUNZWA NA NDUGU, USIWAKIMBIE NDUGU..
inawezekana MUNGU kakuweka kwenye mizani, jipime vizuri bila ghadhabu.
Yaani mdogo mtu ndio amfundishe kaka mtu nidhamu ya pesa? Kumlea isiwe sababu. Amkatae tu. Kama ni msaada ampe pale atakapokuwa amekwama. Usikute jamaa anafanya makusudi kisa alimsomesha
 
Back
Top Bottom